Maajabu ya NASA

Maajabu ya NASA

Chadema wanaiumiza CCM kichwa usiku na mchana lakini HQs zao zipo kwenye majengo ya kupanga.

Ccm wana maghorofa chungu nzima hauko Dar lakini wanaogopa chama chenye ofisi za kupanga.

Wapangaji noma sana
 
Chadema wanaiumiza CCM kichwa usiku na mchana lakini HQs zao zipo kwenye majengo ya kupanga.

Ccm wana maghorofa chungu nzima hauko Dar lakini wanaogopa chama chenye ofisi za kupanga.

Wapangaji noma sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimegundua uzi wangu unashambuliwa kwasababu wengi humu hawana nyumba wamepanga kwahiyo hawaoni uajabu wa shirika kubwa Kama NASA kupanga ila wanalipongeza kisa wengi humu hawana nyumba na probably wanaishi labda kwa dada au shemeji hivi shirika kubwa duniani ambalo linaweza hata kutubashiria kwa usahihi Doomsday likose ofisi zake kweli? Nawapa cahangamoto jengeni nyumba zenu msiishi kutegemea kupanga ni aibu. Japo hatufanani vipato.
 
Nimegundua uzi wangu unashambuliwa kwasababu wengi humu hawana nyumba wamepanga kwahiyo hawaoni uajabu wa shirika kubwa Kama NASA kupanga ila wanalipongeza kisa wengi humu hawana nyumba na probably wanaishi labda kwa dada au shemeji hivi shirika kubwa duniani ambalo linaweza hata kutubashiria kwa usahihi Doomsday likose ofisi zake kweli? Nawapa cahangamoto jengeni nyumba zenu msiishi kutegemea kupanga ni aibu. Japo hatufanani vipato.
Hahaha..
 
Usikariri kwamba kumiliki ni bora zaidi ya kukodi.

Marekani karibu kila kitu kinafanyiwa mahesabu makubwa sana.

Mkuu embu fafanua hapa...
Inakuaje kukodi ikawa bora kuliko kukiliki kwa muda mrefu?
 
Mkuu embu fafanua hapa...
Inakuaje kukodi ikawa bora kuliko kukiliki kwa muda mrefu?
Kwa nani?

Watu tofauti wana vipaumbele tofauti.

Kununua nyumba Marekani kuna liabilities nyingi sana. Mtu akianguka mbele ya nyumba yako, wakati wa snow kwa mfano, kwa sababu hujasafisha snow, anaweza kukufungulia kesi akakufilisi.

NASA wanaweza kuamua kupanga ili kuondoa headaches za liabilities. Liabilities in the legal sense of being liable, not the accounting sense of assets and liabilities.

Kwa hivyo, usilinganishe kununua nyumba Tanzania na Marekani.

Kwa mfano. Mtu ambaye hapendi kulipa property taxes, mortgage insurance etc kwa gharama kubwa kulinganisha na renting tu, anaweza kuamua ku rent kwa gharama ndogo zaidi, halafu savings aka invest.

Real Estate Marekani was a sure shot for a long time when property values were uniformly appreciating. After the 2008 mortgage crisis, that is no longer the case. Kuna watu nilinunua nao nyumba kama miaka 15 iliyopita, wanalalamika kwamba thamani ya nyumba haipandi. Wanauza kwa bei ya chini kuliko walivyonunua. Mimi sioni tatizo hili kwa sababu sina mpango wa kuuza nyumba zangu.

Kuna hii article wameelezea kirefu.

It's better to rent than to buy in today's housing market
 
Duniani kuna mambo ya kushangaza .

Unaijua NASA

Ndio nasa shirika la anga za juu la mmarekani ambalo hakuna taasisi ya anga za juu kubwa kuliko yoyote duniani Kama NASA .

Hata hao space x unaowasikia manjonjo yao yote yanaratibiwa na NASA.

Sasa cha ajabu hawana jengo lao binafsi jengo ambapo ofisi zao zimo pale NASA square Washington DC sio lao wamepanga .

Linamilikiwa na wakorea kusini. Tena Kodi Yao ya pango inaisha 2028.

Kampuni ya Hana Assets ndio inamiliki Lile jengo la ghorofa Tisa pale Washington.

Hivyo NASA na mbwembwe zao zote wamepanga hawana nyumba hawana pa kuishi.
Hata hao space x unaowasikia manjonjo yao yote yanaratibiwa na NASA.
Space X wanafanya baadhi ya mambo ambayo NASA inabidi wayaige. Space X ni ya kampuni binafsi ilhali NASA ni ya serikali na kama ujuavyo mambo ya serikali yana ukiritimba. Space X wanawasaidia NASA mambo kadhaa na hata huchukua contract za NASA kwa mambo yaliyowashinda.

Kwa kifupi Space X ni competitor mkubwa wa NASA.
 
Back
Top Bottom