Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa ,nchi inaendeshwa kwa matamkoWezenu wanavowambia katiba nimuhimu jaribuni kuelewa
Mlisema atakatwa lakini amepanda zaidi toka RC Mbeya kuja kuwa RC Mwanza jijj la pili TZ. Fanyakazi zako utakufa na stress bure dada!Huyu boya hana jipya....anaropoka tu tunampsa siku 100 tuone Mwanza anaiweza ama la....ole wake mapato yashuke....
Acha watu wanywe bia na wachangie uchumi mkuu wa taifa 👍👍
Hata sura yake inaashiria upungufu wa akili
Aliogopa kutekwa na kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi na utakatishaji fedha. Wewe ulikuwa humuogopi dikteta?Anajipendekeza kama Ndugai tu; alikuwa wapi kutamka hayo alipokuwa Mbeya anakamata watu na kuimba mapambio enzi ya JIWE?
Sidhani kama kuna mtu atapa stress ya jambo kama hili. Tatizo la viongozi kama hawa ni kuwa hawana msimamo. Na dunia hii ogopa sana sana mtu asiye na msimamo hasa kama ni kiongozi. BTW alilosema ni kweli kabisa ila kukosa kwake msimamo ndiyo tatizo.Mlisema atakatwa lakini amepanda zaidi toka RC Mbeya kuja kuwa RC Mwanza jijj la pili TZ. Fanyakazi zako utakufa na stress bure dada!