Maajabu ya RC Chalamila kushupalia ulevi kinyume na sheria

Maajabu ya RC Chalamila kushupalia ulevi kinyume na sheria

Wenye akili wanakunywa pombe siku zote. Maprofesa wa vyuo vikuu wanakunywa pombe. Profesa Shaba aliyeutunza mwili wa Hayati Sokoine pale Karimjee mwaka 1984 ni mnywaji mzuri wa pombe, alipenda sana kunywa pale Chinese Restaurant, Kilimanjaro Hotel, IFM na bar zote za katikati ya jiji.
Kabisa aisee na wana akili sana maana wengine hutoa chururu zao na kumwaga kojo hadharani huku wakisifiwa uprofesa na uwingi wa akili zao... wengine "wenye hizo akili" walishaonwa wameangusha "magari" skonzi zinaning'ia hewani... achilia mbali waliopata vilema ama kutengana na familia zao kutokana na hizo "akili" chapa maji mkuu kwa ustawi wa "akili" zako... hakuna atakayekuzuia.. ila msitukere, msituchafulie mazingira wala kuwavuruga watoto wetu kwa hizo "akili" zenu...
 
Kabisa aisee na wana akili sana maana wengine hutoa chururu zao na kumwaga kojo hadharani huku wakisifiwa uprofesa na uwingi wa akili zao... wengine "wenye hizo akili" walishaonwa wameangusha "magari" skonzi zinaning'ia hewani... achilia mbali waliopata vilema ama kutengana na familia zao kutokana na hizo "akili" chapa maji mkuu kwa ustawi wa "akili" zako... hakuna atakayekuzuia.. ila msitukere, msituchafulie mazingira wala kuwavuruga watoto wetu kwa hizo "akili" zenu...
Wapo wasiotumia pombe wenye vituko vya hatari hao walevi wana afadhali. Kama hupendi ulevi, pita mbali na Bar maana huwezi kumshawishi kila mtu awe na akili kama zako.
 
Wapo wasiotumia pombe wenye vituko vya hatari hao walevi wana afadhali. Kama hupendi ulevi, pita mbali na Bar maana huwezi kumshawishi kila mtu awe na akili kama zako.
Mkuu sijazipinga "AKILI ZAKO!!" wewe si wa kwanza TUNAWAJUA WENGI KABLA YAKO... kula pombe Mkuu binua gari wala hakuna anayejali muhimu nasisitiza MSITUCHAFULIE MAZINGIRA
 
Mkuu sijazipinga "AKILI ZAKO!!" wewe si wa kwanza TUNAWAJUA WENGI KABLA YAKO... kula pombe Mkuu binua gari wala hakuna anayejali muhimu nasisitiza MSITUCHAFULIE MAZINGIRA
Nikinywa pombe na kumaliza chupa ya mwisho huwa sipotezi uwezo wa kufikiria. Kila kitu kikitumiwa kwa kiasi huwa hakina maumivu wala hakileti fedheha.
 
Nikinywa pombe na kumaliza chupa ya mwisho huwa sipotezi uwezo wa kufikiria. Kila kitu kikitumiwa kwa kiasi huwa hakina maumivu wala hakileti fedheha.
Makelele je yanaruhusiwa maana tumeambiwa "chakula cha pombe ni muziki!?" Mkuu wanaojipendekeza kwa wakubwa huogopa kuwaambia ukweli wakoseapo.
 
CHALAMILA hajitambui,

Kushupalia na kuhamasisha pombe kwenye nchi ambayo

RAIS[emoji117]mwislam swala 5
Bodyguard wa RAIS[emoji117]Mwislam swala 5
Katibu mkuu kiongozi[emoji117]mwislamu swala 5
Msemaji wa RAISI-[emoji117]mwislamu swala 5
Waziri wa TAMISEMI[emoji117]mwislam swala 5

Ni sawa na kujipalia Moto wa kukuchoma mweyewe.

Ni sawa na uwe ZANZIBAR,
tena ndani ya mwezi mtukufu RAMADHAN.

Afu utembeze kitimoto mchana kweupe nyumba Hadi nyumba mitaani, ukimakatwa eti ujitetee USEME nilikua natekeleza "hapa KAZI TU"[emoji2]
 
CHALAMILA hajitambui,

Kushupalia na kuhamasisha pombe kwenye nchi ambayo

RAIS[emoji117]mwislam swala 5
Bodyguard wa RAIS[emoji117]Mwislam swala 5
Katibu mkuu kiongozi[emoji117]mwislamu swala 5
Msemaji wa RAISI-[emoji117]mwislamu swala 5
Waziri wa TAMISEMI[emoji117]mwislam swala 5

Ni sawa na kujipalia Moto wa kukuchoma mweyewe.

Ni sawa na uwe ZANZIBAR,
tena ndani ya mwezi mtukufu RAMADHAN.

Afu utembeze kitimoto mchana kweupe nyumba Hadi nyumba mitaani, ukimakatwa eti ujitetee USEME nilikua natekeleza "hapa KAZI TU"[emoji2]
MaCCM mlipandikizwa mbegu mbaya sana na mwendawazimu. .. Hama nchi rudi kwenu Burundi.
 
Mlisema atakatwa lakini amepanda zaidi toka RC Mbeya kuja kuwa RC Mwanza jijj la pili TZ. Fanyakazi zako utakufa na stress bure dada!
Legacy ya Mwendawazimu wewe , akili zako azina akili.
 
Roho yako itakuwa imefurahi sasa mpinzani wako ndani ya chama kanyang'anywa ulaji.
 
Back
Top Bottom