Hiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!