Wajinga wanasema ametuma fasihi! Hamna fasihi Wala mama yake fasihi!Kitendo cha kuita wananchi wake MBWA wanaobweka huyu mama hastahili kiwepo ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajinga wanasema ametuma fasihi! Hamna fasihi Wala mama yake fasihi!Kitendo cha kuita wananchi wake MBWA wanaobweka huyu mama hastahili kiwepo ikulu
Afadhani tungekuwa mbwa ila mbwa mpumbavu. Mimi najua mbwa koko na mbwa kichaa ila mbwa mpumbavu sijawi ona.Hiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!
Inawezekana wale chawa wake wamekuwa mbwa werevu 🤓😂Afadhani tungekuwa mbwa ila mbwa mpumbavu. Mimi najua mbwa koko na mbwa kichaa ila mbwa mpumbavu sijawi ona.
Hapo ametuita mbwa kwa vitendo huyu Chura duh!!Hiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!