Kumbe mbwa ni watanzania anawaongoza?Mbwa tuendelee kubweka
Kuwa makini kijana weka ushahidi ni wapi rais amewaona wananchi mbwa?Hiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa
Samia na genge lake hao. Halafu kuna umbwa kama Lucas Mwashambwa wanatoa pongeziHiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!
Ati leo yule ke tuita mbwa katuma Makonda, Lukuvi na Kabudi kwenda kuongea na mbwa. Dharau za kishenzi. Kabudi tangu lini kawa upande wa wananchi.Hiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!
Kama huna redio uwe unaenda bar kusikiliza!Kuwa makini kijana weka ushahidi ni wapi rais amewaona wananchi mbwa?
Ni ulevi wa madaraka unamsumbua! Bado kidogo atawehuka!Ati leo yule ke tuita mbwa katuma Makonda, Lukuvi na Kabudi kwenda kuongea na mbwa. Dharau za kishenzi. Kabudi tangu lini kawa upande wa wananchi.
Mtake radhi Swahiba yangu Lucas Mwashambwa. Unakosea kummithilisha na mbwa. Bw. Mwashambwa ni kada mtiifu mwenye nyuzi za kububujisha watu machozi.Samia na genge lake hao. Halafu kuna umbwa kama Lucas Mwashambwa wanatoa pongezi
Chadema na wanaharakati wenu uchwara Mwabukusi na Njau ndio mliofungua kesi. Mwananchi mliyempachika amekataa Kwa kuwa ameshaona madhara ya hizo siasa mnazofanyaHiki ndicho kilichotokea huko Arusha kwa serikali kupitia Wakili Peter Njau kujifungulia kesi ya kupinga amri ya Waziri kufuta vijiji Ngorongoro kwa kutumia jina la mtu Isaya Ole Posi ambaye amekanusha kuhusika na kufungua kesi hiyo na kujisikiliza mahakamani na kujiwekea zuio!
Hakika Serikali kama alivyosema Samia inatuona sisi wananchi ni mbwa tu!
jiandae kutoa ushahidiKama huna redio uwe unaenda bar kusikiliza!
Acha kuchanganya Mwabukusi na hiyo takataka mbwa Njau!!Chadema na wanaharakati wenu uchwara Mwabukusi na Njau ndio mliofungua kesi. Mwananchi mliyempachika amekataa Kwa kuwa ameshaona madhara ya hizo siasa mnazofanya
Labda kakosea tu kusema Samia kawaona aananchi mbwa. Labda alimaanisha chura ndio kawaita wananchi mbwaKuwa makini kijana weka ushahidi ni wapi rais amewaona wananchi mbwa?
Ona mbwa koko lingine la CCM hili?jiandae kutoa ushahidi