Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
- Thread starter
-
- #61
ACT kuibiwa kura ndio kitu ambacho kilitakiwa kujadiliwa kwa nguvu na CDM na kuiuliza CCM maswali kuwa walikuwa wanamsingizia Magufuli huku wao wanafanya hayo hayo, Cha ajabu Chadema wanaipongeza CCM na kuicheka ACTWanashangilia au kueleza hali halisi? Bila kubadilisha mifumo haya mambo hayataisha
Watu wa ajabu sana yaani wanalaumu Chadema kwa CCM kuiba kura. Kwanini hauongelei kura kuibiwa wewe unaona hiyo ni sawa ! Badala yake unaongelea watu wanaocheka wakati demokrasia inadidimizwa halafu unajifanya eti mzalendo 😂
Na nyie yatawakuta 2025Hao wazee wa SUK wako kimaslahi na vigeugeu geu wanauma nakupuliza Acha yawakute wako kimkakati kufubaza upinzani
Tuwekee hapa official statement ya Chadema kushangilia ACT kuibiwa kura na CCM vinginevyo futa huu upuuzi wako.Sijasema iisadie nimeshangaa tu wanashangilia
Chadema ni genge la wasakatonge kupitia siasa!Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.
Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.
Maswali yangu ni;
CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.
CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
ACT wapo sahihi coz tumeona unafki wa Samia na miswada yakeCHADEMA wapo sahihi. Kiherehere cha ACT kinaua demokrasia
Unajiuliza maswali ya kijinga mura! CHADEMA walichokuwa wanataka ni kuwa na nguvu ya pamoja kati ya vyama vya upinzani! Ka hawara ka CCM kakaona kawakomoe CHADEMA kakasema mazingira yako sawa! Sasa yako wapo? Lema yuko sahihi kukazomea ka ACT! In short Zitto ameleta siasa za kipumbavu! CCM nayo kama hayana akili, hayajui kula na vipofu, kwenye hizi uchaguzi ndogo yangekuwa yanasimamia haki ili kuwakata kilimilimi wapinzani. Hapo yangekuwa yanapata points za kuongelea.Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.
Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.
Maswali yangu ni;
CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.
CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Chadema mbona nao wanashiriki uchaguzi katika mazingira haya haya?Unajiuliza maswali ya kijinga mura! CHADEMA walichokuwa wanataka ni kuwa na nguvu ya pamoja kati ya vyama vya upinzani! Ka hawara ka CCM kakaona kawakomoe CHADEMA kakasema mazingira yako sawa! Sasa yako wapo? Lema yuko sahihi kukazomea ka ACT! In short Zitto ameleta siasa za kipumbavu! CCM nayo kama hayana akili, hayajui kula na vipofu, kwenye hizi uchaguzi ndogo yangekuwa yanasimamia haki ili kuwakata kilimilimi wapinzani. Hapo yangekuwa yanapata points za kuongelea.
Kwahio tuendelee kushiriki hali ya kua tunajua atushindiUkiwasusia nyani shamba la mahindi wanatafuna yoote kwa vigelegele.
Tatizo ni kuwa vyama vichache makini vikisusia uchaguzi, vile vyama chawa vya ccm vitashiriki, halafu itaonekana vyama vingi vimeshiriki na ccm itapewa ushindi wa "kishindo" wa mchongo kama siku zote
Hizo ni sifa za ccmCHADEMA ni watu wenye wivu na choyo sana
Mafanikio yanakuja kwa jitihada na mapambano, siyo kususa.Kwahio tuendelee kushiriki hali ya kua tunajua atushindi
Kisa ukimsusia nyani mahindi atakula yote
Na usipo msusia kinatokea nini
Kwanini wewe usiwahoji hao wezi ccm?ACT kuibiwa kura ndio kitu ambacho kilitakiwa kujadiliwa kwa nguvu na CDM na kuiuliza CCM maswali kuwa walikuwa wanamsingizia Magufuli huku wao wanafanya hayo hayo, Cha ajabu Chadema wanaipongeza CCM na kuicheka ACT
Huoni kuwa wewe ndiye una matatizo,Kuna chaguzi ndogo zilizofanyika katika maeneo mbalimbali nchini, na Chadema waliamua kutoshiriki, ACT wao wakafanya maamuzi yao kama chama huru cha siasa kushiriki, ACT wamelalamika na kusema kuna ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi zimefanyiwa kwenye chaguzi hizo.
Maajabu ni kuwa viongozi wa chama kingine cha upinzani, CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wao wa kanda ya kaskazini Godbless Lema wamekuwa wakishangilia hayo madhila waliyofanyiwa ACT na dola, huku wao wakitarajia kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu ujao katika mazingira haya haya.
Maswali yangu ni;
CHADEMA wao wamekuwa wakishiriki uchaguzi mkuu kila mwaka katika mazingira haya haya lakini ACT wao wakishiriki inawaona ni wasaliti, tawi la CCM.
CHADEMA haiamini katika uhuru wa vyama vingine vya siasa? Kwamba vyama vingine vya siasa vikifanya maamuzi kama wanavyofanya wao (kama kushiriki uchaguzi mkuu uliopita na ujao) wanakuwa ni tawi la CCM?
Sawa na hata ukishiriki kutakuwa na impact ganiMafanikio yanakuja kwa jitihada na mapambano, siyo kususa.
Kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 walijaribu kufanya hivyo, kulikuwa na impact gani?!
Hujui kwamba baadhi ya wagombea huwa wanashinda hadi waĺishaongoza Halmashauri kadhaa?Sawa na hata ukishiriki kutakuwa na impact gani
Kuna mtu alikuwa mwizi wa kura kuliko mwendazake?Huoni kuwa wewe ndiye una matatizo,
Badala ya kuwashangaa CCM waiba kura, unashangaa mashuhuda wa WIZI wa kura.
Una tatizo kubwa,
Jitafakari.
Kwakuwa Magu hayupo na wizi unaendelea, tuhuma hizo zinahamia Kwa Sa100.Kuna mtu alikuwa mwizi wa kura kuliko mwendazake?
Ni chuki tu za kisiasa tu zinawasumbua.ACT kuibiwa kura ndio kitu ambacho kilitakiwa kujadiliwa kwa nguvu na CDM na kuiuliza CCM maswali kuwa walikuwa wanamsingizia Magufuli huku wao wanafanya hayo hayo, Cha ajabu Chadema wanaipongeza CCM na kuicheka ACT
Hata kama hayupo bado haiondi historia yake kuwa alikuwa mwiziKwakuwa Magu hayupo na wizi unaendelea, tuhuma hizo zinahamia Kwa Sa100.