hata mimi natumia hii nikiwa ukimaniNapotezea kama sijaona vile au nazuga kama mtu ambáye mikono yake sio misafi hivyo naogopa kukuchafua, ukiwa age yangu nakuwahi na tano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hata mimi natumia hii nikiwa ukimaniNapotezea kama sijaona vile au nazuga kama mtu ambáye mikono yake sio misafi hivyo naogopa kukuchafua, ukiwa age yangu nakuwahi na tano
Hawa wenye kutumia makokwa ya embe watakuwa aliens!!Hostel chema iliziba, ilipo zibuliwa wakakuta kokwa la embe, sasa sijui uyu alikua anakula embee chooni au alitumia kama toilet paper!
Inasemekana vyoo vya Ke huwa visafi mara nyingi.Labda vyoo vya ke ni safi.
Hapa SYLLOGIST! hawezi kukuelewa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Walllah wee jamaa huna akili...Huyo aliyekuwa anaingia na mawe sasa hv n brother men Kabisa na anakula babes pisi kali anajiita Poor Brain
Tabia ya kuingia na mawe chooni umeacha.?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Walllah wee jamaa huna akili...
Ukiingia kwa 18 takuungia wewe mpaka ujute 😂😂😂😂😂😂
Bado hujaniambia, matumizi ya magunzi na mawe chooni ni yepi?