hawakosekani kila sehemu. lakini uchafu wa ngedere weusi hasa wanaokaa ukimani ni wa hadhi ya kipekeeTunasafari ndefu bado.
Japo ukiishi na wazungu utajua kwamba pia ni aaxhafu haswa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hawakosekani kila sehemu. lakini uchafu wa ngedere weusi hasa wanaokaa ukimani ni wa hadhi ya kipekeeTunasafari ndefu bado.
Japo ukiishi na wazungu utajua kwamba pia ni aaxhafu haswa.
Afu cjui n kwann watu wazima ndio wanaoongoza kwa uchafu chooni kuliko watoto.Hizo TABIA hawaachagi,
Hadi kwenye family, unakuta baba mwenye nyumba haflash choo,
Alitoka chooni, ni KAZI ya mama kwenda kufanya usafi!!
Hili ni kweli, watoto wa kiume ni wachafu kwa asilimia kubwa.Unaweza pull mlango ukakuta umefungiwa,
Baada ya dakika kadhaa, anatoka mtu msafi kavaa coat vizuri kabisa,
Ukiingia ndani ya choo, unakuta hajaflash!!
Wazazi tufundishe watoto wetu Hasa wa kiume,
Ni wachafu sana.
Hapa SYLLOGIST! hawezi kukuelewahawakosekani kila sehemu. lakini uchafu wa ngedere weusi hasa wanaokaa ukimani ni wa hadhi ya kipekee
Unafanyaje mtu akikupa mkono??Ndo mana sipendi kupeanapeana mikono ovyo na watu
Napotezea kama sijaona vile au nazuga kama mtu ambáye mikono yake sio misafi hivyo naogopa kukuchafua, ukiwa age yangu nakuwahi na tanoUnafanyaje mtu akikupa mkono??
Hizo TABIA wametoka nazo utotoni, majumbani mwao,Huwa inashangaza unakuta hata vyoo vya ofisi za umma ambapo wote wanaovitumia ni watu wazima ni vichafu ajabu.
Hukukuta mawe?Nakumbuka nilikuwa nchi X ambayo watu wake hupenda kutumia toilet paper chooni, sasa choo kikawa kimeziba na mizigo haiendi wakaniita mjuba na kusema choo kina shida, kufika pale nikawaambia nileteeni maji kama lita 20 na broom stick, mjuba nikamwaga maji nikaingiza lile gongo na kukoroga kama nimeweka sukari kwa kijiko kwenye kikombe cha chai. Nilivyokuwa nakoroga jamaa walibaki "You you are very baaaaad" dakika 3 choo kiko fresh kama kawaida
Sikukuta mawe zaidi ya toilet paper kavuHizo TABIA wametoka nazo utotoni, majumbani mwao,
Hukukuta mawe?
Basi hayo mawe yatumike vichakani sio kwenye vyoo vya ummaWazee wa dini wanapenda Sana kutumia mawe haja ndogo.