Maajabu ya Wilaya Songwe ni balaa

Maajabu ya Wilaya Songwe ni balaa

Songwe Yetu

Member
Joined
Nov 22, 2021
Posts
84
Reaction score
99
Wilaya Songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza.

Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha, milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?

Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injinia wa wilaya.

Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati muda wa kukabidhi umeshapita. Naomba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na shule yanayojengwa yapo chini ya kiwango Mkuu wa Wilaya na mkurugenzi wapo tu ofisini.

Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
 
Wilaya songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza. Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha , milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini? Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya. Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa. yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini. Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
 
Ondoa majungu kama una hoja mfuate mkurungenzi ofisini kwake, njia uliyotumia kufikisha ujumbe wako ni kutaka kufitinisha
 
Wilaya songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza.

Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha , milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?

Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya.

Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa. yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini.

Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
Wewe mkaguzi wa nini? Ulitumwa na nani kufanya ukaguzi? Taarifa ya ukaguzi iko wapi au alikabidhiwa nani?
 
Majengo mengi yanayojengwa kwa fosi akaunti hayana ubora kabisa yani ukienda kuangalia ni kituko nyufa kibao bodi zinabanduka kabla hayajakabiziwa
 
Wilaya songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza.

Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha , milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?

Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya.

Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa. yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini.

Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
Bora umelileta hapa...Limefika.
 
Wilaya songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza.

Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha , milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?

Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injia wa wilaya.

Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Naonmba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na mashule yanayojengwa. yapo chini ya kiwango Mkuu wa wilaya na mkurugenzi wapo tuu ofisini.

Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
Wewe ni msaidizi wa engineer umeamua kumpiga majungu kwa maksudi ili uachiwe ofisi. Jinga sana wewe.
 
Wewe ni msaidizi wa engineer umeamua kumpiga majungu kwa maksudi ili uachiwe ofisi. Jinga sana wewe.
Kwahiyo watu waharibu tusiseme kwa kuogopa kupiga watu majungu au unataka niweke tuhuma nzito zinazomhusu huyo injinia uchwala wako, ukiendelea ntamwaga upupu hapa. Wakuu ambao ndio wasimamizi wa kila siku walipaswa kuwajibishwa kwa makosa hayo.halafu umwambie injinia wako apunguze kuomba rushwa ili majengo yapokelewe.
 
Back
Top Bottom