Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nazani ungemtumia DED Meseji Direct ingenoga zaidiWilaya Songwe bado imeendelea na maajabu yake. Wasimamizi waliofanya vibaya mpaka inatia kinyaaa bado mkurugenzi anawabembeleza.
Kuna sehemu tulipita wakati tunakagua tukaaacha maelekezo wafanye marekebisho kwani ujenzi ulikuwa chini ya kiwango warekebishe madirisha, milango lakini kwa bahati mbaya marekebisho hayo hayajafanyika tuliporudi kukagua tena sasa sijajua tatizo nini?
Mkurugenzi chukua tahadhari kwa waliosimamia majengo ikumbukwe Rais wetu anatafuta hela kwa ajili ya miradi ya maendeleo na sio za kula watu. Sasa hivi wanawahonga watu wa halmashauri ili majengo yapokelewe hususani injinia wa wilaya.
Kuna baadhi ya majengo hayajakamilika na mengine hayapokelewa wakati mda wa kukabidhi umeshapita. Naomba TAMISEMI na WIZARA YA ELIMU iimulike wilaya hii upande wa majengo hususani ya zahanati na shule yanayojengwa yapo chini ya kiwango Mkuu wa Wilaya na mkurugenzi wapo tu ofisini.
Tamisemi iwachukulie hatua kwa kushindwa kusimamia maendeleo katika wilaya hii.
Sawa mkurugenzi wa SongweOndoa majungu kama una hoja mfuate mkurungenzi ofisini kwake, njia uliyotumia kufikisha ujumbe wako ni kutaka kufitinisha
Zimefanya nini we kijebaSoma #7 na #9 utaelewa kwa nini anastahili!
Engineer ninamfahamu ni mtu wa kusimamia kwa uhakika sana miladi ndiyo maana mnampiga .kwa jina la Yesu mtashindwa.
Huyu muache tuuuLugha gani tena hizi? Mbona hamshindani kwa hoja?
Uthibitisho gani wakati kuna watendaji wa kijiji fulani waliwaweka ndani. Kenge kusikia mpaka damu itoke masikioniTuwekee usibitisho Hapa wa unachokisema..
Vinginevyo Aya Ni Majungu Na Fitina Zako.
Tatizo sio injia watu waliopewa kusimamia miradi hiyo ndio wanatakiwa kuwajibishwaEngineer ninamfahamu ni mtu wa kusimamia kwa uhakika sana miladi ndiyo maana mnampiga .kwa jina la Yesu mtashindwa.