Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Kwahiyo ulitaka yajengwe na mainjinia😀😀Majengo mengi yanayojengwa kwa fosi akaunti hayana ubora kabisa yani ukienda kuangalia ni kituko nyufa kibao bodi zinabanduka kabla hayajakabiziwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ulitaka yajengwe na mainjinia😀😀Majengo mengi yanayojengwa kwa fosi akaunti hayana ubora kabisa yani ukienda kuangalia ni kituko nyufa kibao bodi zinabanduka kabla hayajakabiziwa
Tapeli mkubwa! Wenzako hawapandi vyeo kwa majungu!Mbona povu kijana umeguswa nyeti nini?! kumbuka na mtandao unaotumia ni wa kwetu take care
Kwa akili za hivi bado tutaendelea kula mavi mpaka tukome.Kwahiyo ulitaka yajengwe na mainjinia😀😀
Mimi nampiga majungu nani mremboTapeli mkubwa! Wenzako hawapandi vyeo kwa majungu!
Mshenzi!
Mamako!Mimi nampiga majungu nani mrembo
Declare interest.Kwa akili za hivi bado tutaendelea kula mavi mpaka tukome.
Mnakagua miradi mnawapa marekebisho ya kufanya hawafanyi nakumbuka kuna shule moja ya sekondari tulipita tukamwambia afanye marekebisho upande wa madawati ya wanafunzi, rangi ya ukutani na madirisha yaliwekwa vibaya lakini cha ajabu hajafanya marekebisho hata kidogo na ni karibia wote walioambiwa wafanye marekebisho hawajafanya. Halafu tukisema mnasema tunataka nafasi ya mtu fulani.Tamisemi wachukulieni hatua wakuu wa idara walioshindwa kuwasimamia wakuu ili liwe fundisho kwao.
Mbona unamtukana mwenzio bila sababu ya msingi? Imagine yeye ndio angekuwa anakutukana hivyo ungejisikiaje ndugu yangu.Mpumbavu mkubwa wee! Wewe ni kibaka tu kazi majungu! Hautafanikiwa kwa ushenzi wako!
Malaya mkubwa!
Output inakuweje mkuu au unaweza ukajenga jengo hata kwa maandishi na jengo lisionekane ili mradi maandishi yapo tu inatosha mkuu?SERIKALI INAFANYA KAZI KUPITIA MAANDISHI KATIKA MAKARATASI
OVAAA
Kutoa taarifa na kupata taarifa ni haki ya kila raia,Ondoa majungu kama una hoja mfuate mkurungenzi ofisini kwake, njia uliyotumia kufikisha ujumbe wako ni kutaka kufitinisha
Kelele hizi haziusiani na tendwa uchwara kinachozungumziwa ni ubovu wa majengo yaliojengwa.Declare interest.
Kwanza wewe Ni Nani hapo Songwe?
Tunajua Force Account zimeua ULAJI wa MAINJINIA UCHWARA kupitia TENDER UCHWARA.
Kwahiyo kelele lazima ziwepo. Haziepukiki.
Hapana haitoshi nachomaanisha NI kwamba kama report mliyotuma haijafanyiwa kazi Basi wasiliana na mkurugenzi wa usalama wa taifa kupitia kwa katibu mkuu ..ukifanya hivyo utakuwa umelitendea haki taifa Kisha nawa mikono yako.let the rest.Output inakuweje mkuu au unaweza ukajenga jengo hata kwa maandishi na jengo lisionekane ili mradi maandishi yapo tu inatosha mkuu?
Weka pichaKe
Kelele hizi haziusiani na tendwa uchwara kinachozungumziwa ni ubovu wa majengo yaliojengwa.
NI kweli hata sheria imesema kila mwananchi ana jukumu na wajibu wa kulinda.ila ingependeza Kama watumishi wa serikali wafundishwe namna ya kuwasilisha matatizo ngazi za juu zifuatilie kiundani na ikishindikana Basi.maana idara za ustawi serikalini Zipo Ila jamii hazistawi.whyKutoa taarifa na kupata taarifa ni haki ya kila raia,
Acha aendelee kutupasha,kama kuna ukweli itajulikana na kama ni uongo itajulikana,
Nchi hii madudu ni mengi kila kona
Soma #7 na #9 utaelewa kwa nini anastahili!Mbona unamtukana mwenzio bila sababu ya msingi? Imagine yeye ndio angekuwa anakutukana hivyo ungejisikiaje ndugu yangu.
Mjibu tu kistarabu kama wa kuelewa atakuelewa tu sio lazima kutumia matusi
Zimefanya nini we kijebaSoma #7 na #9 utaelewa kwa nini anastahili!
Malaya!Zimefanya nini we kijeba
Engineer ninamfahamu ni mtu wa kusimamia kwa uhakika sana miladi ndiyo maana mnampiga .kwa jina la Yesu mtashindwa.Kwahiyo watu waharibu tusiseme kwa kuogopa kupiga watu majungu au unataka niweke tuhuma nzito zinazomhusu huyo injinia uchwala wako, ukiendelea ntamwaga upupu hapa. Wakuu ambao ndio wasimamizi wa kila siku walipaswa kuwajibishwa kwa makosa hayo.halafu umwambie injinia wako apunguze kuomba rushwa ili majengo yapokelewe.
Lugha gani tena hizi? Mbona hamshindani kwa hoja?Mpumbavu mkubwa wee! Wewe ni kibaka tu kazi majungu! Hautafanikiwa kwa ushenzi wako!
Malaya mkubwa!
Tunafundana!Lugha gani tena hizi? Mbona hamshindani kwa hoja?