Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Tuelimishane vizuri tuelewe sasaš¤Sio KWELI
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuelimishane vizuri tuelewe sasaš¤Sio KWELI
Nimekaa huko sijaona hayo Mambo unasemaTuelimishane vizuri tuelewe sasaš¤
Hiyo ipo Kwa wakerewe na wajita wakerewe wanaweza kuzungumza kijita ila wajita hawawezi kuzungumza kikerewe na wanaendana baadhi ya Mila na Tamaduni ata majinaMaajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo kwangu mimi haya ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia wilaya ya lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa...
Mtoto aliyekulia masaki ukimpeleka hapo tu kigogo au mbagala kwake yeye itakua ni maajabu atashangaa sana kuona watu maisha watu wanayoishiSasa Mkuu kwa level ya mtu ambaye umeweza hadi ku-post humu hicho ulicho-post kinaweza kuwa maajabu kweli? Shida iko hapo.
Wakerewe na wajita ni kabila mojaHiyo ipo Kwa wakerewe na wajita wakerewe wanaweza kuzungumza kijita ila wajita hawawezi kuzungumza kikerewe na wanaendana baadhi ya Mila na Tamaduni ata majina
RubishMaajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo kwangu mimi haya ni maajabu
Wengi wa watu wakisikia Wilaya ya Lushoto wanapata picha ya haraka haraka kwamba wenyeji wake ni wasambaa ila ukienda lushoto utashangaa kuna makabila matatu wanaishi vizuri tu nayo ni wapare na wambugu
Wilaya ya Lushoto kuna wapare na wambungu ambao wako baadhi yao hawajui hata kisambaa ila cha ajabu mbungu akiongea huwezi mtofautisha na mpare ni kama lugha moja ila wanajitambulisha kama makabila mawili tofauti
Ni rahisi sana mbugu kuongea kipare, ni ngumu kwa mpare kuongea kimbugu japo atakua anamsikia kwa sababu lugha zao hazija-achana sana
Unacomment kwenye rubbish hongeraRubish
Usiwe unapenda kujikita na petty issues kama hizoWambugu au Mmbugu siyo Wambungu!!!
Hiyo ipo Kwa wakerewe na wajita wakerewe wanaweza kuzungumza kijita ila wajita hawawezi kuzungumza kikerewe na wanaendana baadhi ya Mila na Tamaduni ata majina
Kabila la mbugu duuh hii nchi tuna makabila hta mengne sjawah yaskiaMaajabu sio lazima kuwe na mastori ya kutisha ambayo asilimia kubwa ni uongo mfano mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuchafu, dis-organized vumbi kila sehemu atastaajabu san...
Humu kila kinachokuwa posted kinatumika kama elimu kwa wasiojua,tukisema kila kitu kichukuliwe kwa udogo wake tutajikuta tunafunzana ujinga.Usiwe unapenda kujikita na petty issues kama hizo
Hapana, ni makabila mawili tofauti kabisa. Kwa makabila ya Wahaya na Wazinza ni rahisi sana kwako kuelewa Kikerewe kwani maneno mengi yanafanana hata kwa maana. Wajita wanashabihiana na Waruri na Wakwaya na kwa mbali kidogo Wakara ingawa matamshi yanakuwa tofauti kidogo.Wakerewe na wajita ni kabila moja
Kwahiyo huyo mzungu ndio akakwambia haya ni maajabu?Unajua hata mzungu akija huku afrika akaona kulivyo kuwa kuchafu, kulivyo disorganize kwake ni maajabu