Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
makolo nendeni mkanunue mafolonya kule ya vunjabei
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo tunayavaa na kuchukua makombe, jezi zenu nzuri zimewapatia nini katika soka?.makolo nendeni mkanunue mafolonya kule ya vunjabei
Mkuu hapo kwenye payroll apowenyewe na wachambuzi wao TAKATAKA walioko kwenye payroll ya msomali wanakuambia Senzi ni bonge la CEO, bonge la CEO lililoshindwa hata kufanya simple logistic tu ya kujua kwamba marrakech kuna outspread ya kutisha ya COvid 19 kisa kisa maghorofa unapeleka team huko
Wakafika wakaanza kutumia official social media zao ku wa mock simba walioenda Rabat(bush) wakisema hatuwaoni huku mjini, kipo wapi sasa?????
simba waliobaki wanaenda kambi ya utulivu karatu arusha ,camp la kisasa wakimaliza kina Manula majukumu ya stars team inaenda camp nje probably Egypt
Hahahaaa mchicha wa RoriyaUnadhani bangi wanayovuta Yanga inatoka mkoa gani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahaaaaaaView attachment 1921445POWERBANK FC
hata magazeti haswa mwanaspoti hilo nafikiri hata bill ya maji wanalipiwa na msomaliMkuu hapo kwenye payroll apo
kila kituo wachambuzi wawili watatu wapo kwenye list ya msomali