ACT Wazalendo
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 631
- 1,577
Kwenye ukurasa wake wa Twitter Maalim Seif ameandika hivi punde:
"Kufuatia kutangazwa kuanza kwa Uchaguzi ndani ya Chama cha @ACTwazalendo Ngazi ya Taifa leo nimeamua kutumia haki yangu ya kikatiba kuchukua fomu kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa. Nilikabidhiwa fomu na Katibu Mkuu, Ndugu Dorothy Semu kwenye Ofisi ya Chama, #Zanzibar" Seif Sharif Hamad on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app
"Kufuatia kutangazwa kuanza kwa Uchaguzi ndani ya Chama cha @ACTwazalendo Ngazi ya Taifa leo nimeamua kutumia haki yangu ya kikatiba kuchukua fomu kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa. Nilikabidhiwa fomu na Katibu Mkuu, Ndugu Dorothy Semu kwenye Ofisi ya Chama, #Zanzibar" Seif Sharif Hamad on Twitter
Sent using Jamii Forums mobile app