Maalim Seif achukua fomu ya Uenyekiti ACT-Wazalendo

Maalim Seif achukua fomu ya Uenyekiti ACT-Wazalendo

ACT Ina viongozi wakuu wa juu wawili Kuna Zitto Kabwe yeye Ni mkuu wa Chama hachaguliwi.Katiba imempa cheo Cha mkuu wa Chama .Yeye kateuliwa na Allah ambaye ndie kampa cheo Cha supreme leader wa Chama kule Iran anaitwa Ayatollah .Kwa hiyo Act wazalendo Kuna Ayatollah Zitto Kabwe Kamennei na Kuna mwenyekiti wa Cha ambaye huchaguliwa .Zitto Kabwe sio.Mwenyekiti wa ACT wazalendo mwenyekiti yupo jina nimemsahau ninmzee mmoja Ana macho.mekundu hivi Kama mvuta bangi.Ila huwa hasikiki hicho ndicho cheo Maalim Seif anataka akichukue bacho.huyo mzee sasa hivi anakishikilia.Kwa hiyo sio kwamba Seif anachukua uenyekiti wa Zitto Kabwe hapana.Jua liwake mvua inyeshe zitto.kabwe Ana cheo chake Cha kudumi Cha mkuu wa Chama.Huko chini kaacha wachagueni wapendavyo ila yeye hahusiki kuchaguliwa
 
Soma kwa makin
 

Attachments

  • Screenshot_20200130-171425.png
    Screenshot_20200130-171425.png
    50.2 KB · Views: 2
Uenyekiti ACT wazalendo Ni hopeless .Mwenyekiti ni Zitto Kabwe ambaye kajipa cheo Cha supreme leader kwenye katiba Cha Mkuu wa Chama.

Zitto Ni mkuu wa Chama Cha ACT wazalendo na Ni cheo Cha maisha hapigiwi kura!!!!
Maalimu Seif kajidhalilisha kuchukua fomu kugombea cheo hopeless
Wewe Yehodaya hebu jaribu kuchukua fomu ya kugomnea nafasi ya M/kiti CCM taiga mwakani uone utakavyopotezwa!
 
Back
Top Bottom