Maajabu halafu Zitto anajitia mpigania Demokrasia.
Wa kuteuliwa ambao sio viti maalum lazima wateuliwe na Raisi wa nchi.Zitto atabakia kuwa mbunge hata wakuteuliwa na maisha yataendelea vilevile
ACT Ina viongozi wakuu wa juu wawili Kuna Zitto Kabwe yeye Ni mkuu wa Chama hachaguliwi.Katiba imempa cheo Cha mkuu wa Chama .Yeye kateuliwa na Allah ambaye ndie kampa cheo Cha supreme leader wa Chama kule Iran anaitwa Ayatollah .Kwa hiyo Act wazalendo Kuna Ayatollah Zitto Kabwe Kamennei na Kuna mwenyekiti wa Cha ambaye huchaguliwa .Zitto Kabwe sio.Mwenyekiti wa ACT wazalendo mwenyekiti yupo jina nimemsahau ninmzee mmoja Ana macho.mekundu hivi Kama mvuta bangi.Ila huwa hasikiki hicho ndicho cheo Maalim Seif anataka akichukue bacho.huyo mzee sasa hivi anakishikilia.Kwa hiyo sio kwamba Seif anachukua uenyekiti wa Zitto Kabwe hapana.Jua liwake mvua inyeshe zitto.kabwe Ana cheo chake Cha kudumi Cha mkuu wa Chama.Huko chini kaacha wachagueni wapendavyo ila yeye hahusiki kuchaguliwa
Halafu anajifanya mwanademokrasia,ngoja membe aje achukue chama chakeUenyekiti ACT wazalendo Ni hopeless .Mwenyekiti ni Zitto Kabwe ambaye kajipa cheo Cha supreme leader kwenye katiba Cha Mkuu wa Chama.
Zitto Ni mkuu wa Chama Cha ACT wazalendo na Ni cheo Cha maisha hapigiwi kura!!!!
Maalimu Sif kajidhalilisha kuchukua fomu kugombea cheo hopeless
Kwenye ukurasa wake wa Twitter Maalim Seif ameandika hivi punde:
"Kufuatia kutangazwa kuanza kwa Uchaguzi ndani ya Chama cha @ACTwazalendo Ngazi ya Taifa leo nimeamua kutumia haki yangu ya kikatiba kuchukua fomu kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Taifa. Nilikabidhiwa fomu na Katibu Mkuu, Ndugu Dorothy Semu kwenye Ofisi ya Chama, #Zanzibar" Seif Sharif Hamad on Twitter
View attachment 1340824
Sent using Jamii Forums mobile app
Uenyekiti ACT wazalendo Ni hopeless .Mwenyekiti ni Zitto Kabwe ambaye kajipa cheo Cha supreme leader kwenye katiba Cha Mkuu wa Chama.
Zitto Ni mkuu wa Chama Cha ACT wazalendo na Ni cheo Cha maisha hapigiwi kura!!!!
Maalimu Sif kajidhalilisha kuchukua fomu kugombea cheo hopeless
Nafasi zote zinapigiwa kura tofauti na chademamaisha
Weka kifungu Cha katiba hapa
Akiweka hiko kifungu, kesho nakuwa mwanachama wa ACTWeka kifungu Cha katiba hapa
NI KIONGOZI WA CHAMA SI KIONGOZI MKUU WA CHAMA!hapigiwi
Umejua kuchekesha walionunaNi Ayatollah !
Acha kupotosha watu humu, katiba ya ACT sura ya 29 ibara 25 kipengele kidogo Cha 1 inamtambua kiongozi kama kiongozi mkuu wa chama ( supreme party leader)NI KIONGOZI WA CHAMA SI KIONGOZI MKUU WA CHAMA!
Kama ilivyo kwa vyama vingine duniani vinavyofuata mfumo huu, Kiongozi wa Juu huitwa Kiongozi wa Chama (Party Leader) na si Kiongozi Mkuu Wa Chama (Supreme Party Leader) Kama ambavyo baadhi ya watu huita kimakosa. Dhana “Mkuu(Supreme)” huambatana na utukufu/kutopingika. Hakuna sehemu yoyote Kwenye Katiba ya ACT Wazalendo ambako kuna rejea ya ‘Kiongozi Mkuu’.
Tuhitimishe Mjadala wetu kwa kuona nafasi ya Kiongozi wa Chama ndani ya ACT Wazalendo;
Kiongozi wa Chama atakuwa ndiye Msemaji Wa Kisera. Katika kutekeleza wajibu huu, Kiongozi wa Chama atawajibika kutoa mwongozo na mwangaza kuhusu maeneo mbalimbali ya kisera. Baada ya mwongozo wake kusemwa, ni wajibu wa Wenyeviti Wa Kamati (Wasemaji Wa Kisekta) na Msemaji Wa Chama (Msemaji Wa Jumla) kuendeleza na kueneza kwa umma.
Mkuu Wa siasa. Katika kutekeleza wajibu huu, Kiongozi wa Chama anapaswa kuwa kielelezo cha kuimarisha taswira ya Chama na kukiuza ndani na nje ya Bunge na kwenye Jamii kwa ujumla
Kiongozi wa Chama hataongoza vikao vya Chama, isipokuwa Mkutano Mkuu Wa Kidemokrasia. Vikao vya Maamuzi Kama vile Kamati Kuu, Halmashauri Kuu na Mkutano Mkuu vitaongozwa na Mwenyekiti. Wajibu wa kusimamia utekelezaji Wa maamuzi ya vikao vya Chama pia upo kwa Mwenyekiti.
Na ufahamu tu kiongozi wa chama huchaguliwa kwa kura.
Mbona una haha sana?Kasome katiba ya ACT wazalendo
Mkiu wa Chama Ana nguvu kuliko mwenyekiti wa Chama anayechaguliwa kwa kura
Seif alitakiwa asome katiba kwanza
Labda dola ya marekani tena ni $1