Akili za kuambiwa changanya na zako.
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu
Acha yauwawe tuu si ni majinga yanaenda kutumika.Akili za kuambiwa changanya na zako.
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu
Akili za mjinga zinawaza kudhuru watu ili abaki madarakani. Kwani CHADEMA wamesema wanaamzisha maandamano ya kupindua serikali? Japo serikali iliyoko madarakani si halali Kwa maana halisi ya neno halali kutokana na uharamu wa Uchaguzi 2020, bado Hakuna Mtu aliyesema anakwenda kupindua serikali.Akili za kuambiwa changanya na zako.
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu
Acha yauwawe tuu si ni majinga yanaenda kutumika.
Yaani Mimi nikamuandamanie Mbowe na wapuuzi wengine,sijafikia kiwango hicho Cha upumbavu
Haya ni ya wanaume wewe mamsapu yakaushie tuAkili za kuambiwa changanya na zako.
Maalim Seif, gwiji la siasa za mageuzi aliitisha maandamano Zanzibar, watu wengi sana walikufa, wakajeruhiwa na wengine wakawa wakimbizi shimoni Mombasa.
Ukaja muafaka, Maalim kapewa vyeo lukuki na maslahi matamu matamu.
Lakini kwa nini hakuwakumbuka waliouwawa na kujeruhiwa walau wapate mkono wa pole? Ndivyo wanasiasa walivyo, wabinafsi, na wanatumia wananchi kwa maslahi yao, kisha wanawatupa.
Akili za kuambiwa changanya na zako. Usikubali kuandamana ili mtu fulani apate cheo, halafu wewe hupati kitu
Bora hivyo kuliko kuwa mpumbavu wa kumpambania Mbowe kwani nae amishinda ataishia kuwa mtawala Wala hutogawiwa pesa..wanaouwa Watanzania wenzao ili tuendelee kutawaliwa na vigogo wa Ccm na familia zao wana akili kweli?
Alikuletea.Haikutoshi?Jana ulisahau sidiria yako hapa geto, njoo uipitie
Poa sister anguJana ulisahau sidiria yako hapa geto, njoo uipitie