Maalim Seif amkaribisha Bernard Membe ACT-Wazalendo huku akimuonya kuwa asiwe na masharti

Membe ni mgombea urais wa CHADEMA
HAPO HAPO NA INAELEKEA, NA ANAKUBALIKA.
membe akigombea na kushinda kuta wawezesha akina Lisu kurudi nchini kwa amani na uchunguuzi wa kupigwa kwake risasi kufanyika kwa kina na wahusika kufikishwa mbele ya sheria.
HUENDA NDOTO HII IKAWA KWELI WENGI WAKASHANGAA
MWISHO WA CCM UMEFIKA
 
Kumbe vyama vyote hivi viwili. Ajenda yao kubwa 2020 ni kuwa chama kikikuu cha upinzani na sio kuuondoa utawala Wa ccm?
Huwezi kuondoa utawala wa CCM bila kwanza kuwa chama kikuu cha upinzani hilo haliwezi tokea.
 
Ukawa mwaka huu haupo!mpinzani halisi atabaki CHADEMA TU!ambayo kwayo itabaki mioyoni mwa wasomi!Ila kwa walio wengi watarudi CCM!
NCCR,TLP,ACT yatakuwa ni matawi ya CCM!!!

CCM inataka kukuza chama kipya cha upinzani ambacho ni ACT!!
Kwaiyo mwaka huu kuna uwezekano mkubwa Wa vyama vya upinzani kutoungana kama ilivokuwa 2015?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mhe Membe ana nia na malengo ya kugombea urais 2020 lakini Mhe Maalim Seif katujulisha kuwa alipokutana na Rais Dr Magufuli juzi Ikulu, Rais alimuhakikishia kuwa hana nia ya kuongeza hata siku moja baada ya kumaliza muda wake 2025! It means Act wazalendo hawata husika na uchaguzi wa Urais 2020 ni mpaka 2025! It means Act-Wazalendo will not field a candidate for President in 2020!!!
 
Binafsi naamini ktk siasa ya ushindani na namwona membe bado ana nafasi ya kujiunga na upinzani wa kweli ili alete mabadiliko na atimize NDOTO zake za kugombea urais wa Tanzania.Hivyo basi ni muda muafaka sasa ajiunge na ACT Wazalendo sasa...

NB:mods msiunganishe Uzi huu na mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…