Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wakuogopa kama ukomaSana ! Na wao ndio washamba kabisa !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakuogopa kama ukomaSana ! Na wao ndio washamba kabisa !
Aibu kubwa sn kwa MaalimKwa mustakbal mpana wa Zanzibar.
Hongera Maalim Hongera Mwinyi.
Maalim hii si mara ya kwanza kuingia ktk SUK jiulize aliwahi kichuja?Aibu kubwa sn kwa Maalim
Taja faida mlizopata baada ya yeye kuingia kwenye SUK? ni aibu tupuMaalim hii si mara ya kwanza kuingia ktk SUK jiulize aliwahi kichuja??
Mbona hamna katiba ya Tanganyika?Kumbe Zanzibar ina katiba yake, then kuna Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Huu Muungano huwa unachanganya mazee,
Kawaida sana,wala akuna aibu,ni katiba ya Zanzibar inawataka ACT wafanye hivyo.Aibu kubwa sn kwa Maalim
Watanzania ,watanganyika na wazanzibar wanakatishwa tamaa na baadhi ya wanasiasa na maamuzi yao, hivyo wanaamua kuachana na mambo ya kufatilia Siasa!ACT kuamua kuingia ktk GNU ni faida kubwa KWA harakati za kuikomboa ZANZIBAR tunampongeza Maalim na Cc ya ACT kwa hatua hii
MAPAMBANO YANAENDELEA
sasa huu ndio muda wa kuungana, naamini Chini ya Dr. Hussein Maalim seifu atafanya kazi vizuri sana,Naaam Zanzibar mpya inaenda kuzaliwa tatizo kubwa Zanzibar ni Watanganyika wanatuvuruga Hussein Mwinyi kaja kivyengine kwa kuwaweka wahafidhina pembeni na kuja na damu mpya YENYE uchungu wa ZANZIBAR yao baada miaka mitano naiyona ZANZIBAR YENYE ustawi kamili na UCHUMI WA BLUE
Hapo sasaMbona hamna katiba ya Tanganyika?
Hawana issue mkuuZenj ipi unaiongelea? Hii hii iliyojaa machoko ama ni ipi? Zenji watoto wa kiume wanaharibiwa mno. Kuna maeneo nilipita nikakuta wanaume wameweka taharabu huku wameshikana viuno wanacheza, laaana kubwa sana hiyo.
anasemaje haaa haaa😂😂😂😂 Bora niendelee kutokuwa mfuasi wa chama chochote.
View attachment 1644248
1684😂😂😂😂 Bora niendelee kutokuwa mfuasi wa chama chochote.
View attachment 1644248
Unataka kuniambia siasa za Zanzibar Ni Kama rocket science na Ni kubwa saaaana kiasi kwamba hakuna anayezifahamu zaidi ya wazanzibar wenyeweSiasa za ZANZIBAR Watanganyika hamzifahamu tunakabiliana na magumu mengi na haya yote mnayafanya nyinyi Watanganyika kuingia ktk serikali kunafaida kubwa KWA ustawi wa Nchi yetu
Jusa na maaalimu Ni kama mtu na chawa wake .Nchi inaenda ‘kuponywa’ [emoji1][emoji1][emoji1]
Wale vijana wadogo waliouawa Pemba wakiamini wanapigania haki zao kama walivyoaminishwa na Maalim Seif Mungu awape pumziko jema. Familia walizopoteza ndugu zao, Mungu awape moyo, hii ni hali ngumu kwao.
Vipi Jusa na yale majeraha hajalamba teuzi ya kumpoza? Au bado yupo hospitali?
Hahahahah kipanya bhana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ataenda kuapa soon .