Tetesi: Maalim Seif kukabidhiwa SMZ wakati wowote

Tetesi: Maalim Seif kukabidhiwa SMZ wakati wowote

nawasikitikia wawakilishi wa CUF Waliogomea uchaguzi wanavyoshindia mihogo
 
nawasikitikia wawakilishi wa CUF Waliogomea uchaguzi wanavyoshindia mihogo
Mkuu inaonyesha una njaa sana,sio kila mtu anaingia kwenye siasa kwasababu ya njaa wengine wanaingia kwenye siasa kwababu ya kugombania haki,uonevu,demokrasia ya kweli nk...
 
You are day dreaming brother, utasubiri sana hicho unachokidhania kitokee

Ushauri wangu ungeongeza tu juhudi katika shughuli za kukuongezea kipato mkuu wangu

wasome hawa jamaa link https://www.ndi.org/sub-saharan-africa/tanzani

taasisi hii ni kubwa sana na inaheshimika sana. maelezo yao mafupi ya jinsi walivyoona uchaguzi .



In the 2015 national elections, former president Kikwete of the Chama Cha Mapinduzi (CCM) party stepped down due to constitutionally mandated term limits. Kikwete was succeeded by minister of works and CCM candidate John Magufuli after a closely contested election on the mainland. Tanzania has a record of political stability in the East Africa region, but controversy over the status of the semi-autonomous island of Zanzibar continues to disrupt national politics. Previous Zanzibar elections were contentious and occasionally violent, and domestic and international observers have repeatedly found serious faults with the process. The 2015 electoral process on the mainland was largely deemed free and fair, but in Zanzibar the election was clouded by the Zanzibar Election Commission’s unexpected annulment of the Zanzibar polls.
NDI has worked in Tanzania since 2004 supporting Tanzania efforts to strengthen electoral observation and citizen participation in democratic processes. Past and current NDI programs have assisted Tanzanian civil society groups to monitor elections in 2010 and 2015 and provided support to political parties internal organization and election preparation. NDI assistance in Tanzania has also worked with youth and women to more effectively engage in the political process.
 
Sijaona kokote kwenye bandiko lako penye uelekeo wa matamanio yako.

Ila ninachokifahamu ni mijadala inayoendelea huko kwenu Zanzibar ya nani mrithi baada Ya 2020 na possible candidates ni kutoka CCM.
 
Sijaona kokote kwenye bandiko lako penye uelekeo wa matamanio yako.

Ila ninachokifahamu ni mijadala inayoendelea huko kwenu Zanzibar ya nani mrithi baada Ya 2020 na possible candidates ni kutoka CCM.
Huku ni kwetu zanzibar,tunashukuru kuwa unajua kuwa huku ni zanzibar na huko ni tanganyika.
 
Huku ni kwetu zanzibar,tunashukuru kuwa unajua kuwa huku ni zanzibar na huko ni tanganyika.
Mbona Hilo halihitaji Mjadala kuwa huko ni Zanzibar na huku ni Tanganyika ; ambazo zimeungana na kufanya nchi moja inaitwa Tanzania.
 
Mbona Hilo halihitaji Mjadala kuwa huko ni Zanzibar na huku ni Tanganyika ; ambazo zimeungana na kufanya nchi moja inaitwa Tanzania.
Waachie Wazanzibari wapumue ,usiwalazimishe....
 
Mbona Hilo halihitaji Mjadala kuwa huko ni Zanzibar na huku ni Tanganyika ; ambazo zimeungana na kufanya nchi moja inaitwa Tanzania.
Iko wapi hiyo tanganyika iliyo ungana na zanzibar?
 
Hapa kuna mawili either mleta post ni mwongo au uelewa wangu Mimi ni Mdogo
 
Ccm walihisi kufuta uchaguzi ndio wamepona kumbe walijidanganya,walisau kuwa uchaguzi uliisha na mshindi ameshajulikana.
 
  1. Katika jambo ambalo sasa liko wazi wazi ni suala la Tanzania kuridhia matakwa ya dunia kurejesha demokrasi ya mshindwa kukubali kushindwa na kukabidhi madaraka kwa alieshinda.
  1. Mkuu GHIBUU, hakuna ubaya wowote mtu ukiishi kwa matumaini ya kutimia kwa ndoto fulani ambazo mtu anaziota mchana kweupe!.
  2. Zanzibar kulifanyika uchaguzi mwaka 2015 katika mwezi wa Oktoba hapa hapana asiejua kama Chama cha CUF kilishinda uchaguzi ule na Seif Sharif Hamad alimshinda Dr. Ali Mohd Shein kwa zaidi ya kura 20,000
    Rejea katika katiba yenu, mshindi wa uchaguzi wa Zanzibar anapatikana vipi?. Kwa kuwasaidia wasiojua ni kuwa mshindi wa uchaguzi wa Zabzibar, hutanguliwa na kutangazwa matokeo, kisha mshindi hutangazwa rasmi na Tume, ZEC na kukabidhiwa certificates za ushindi. Kwa uchaguzi wa Octoba 2015, matokeo ya wabunge na wawakilishi kweli yalitangazwa na watu kupewa certificates zao za ushindi, na matokeo za urais ni kweli yalionyesha Maalim Seif akiongoza, lakini hakuna matokeo yoyote rasmi ya ushindi yaliyotangazwa na ZEC na hakuna certificate yoyote ya ushindi ya urais iliyotolewa!. Hivyo hakuna aliyeshinda urais, matokeo hayakutangwa na uchaguzi wote ukafutwa kinyume cha sheria, na hakuna yoyote aliyelalamika.
  3. kwakuwa Tanzania kupitia Kikwete kwa wakati huo hawakuridhika na matokeo hayo ya kushindwa na CUF kwa makusudi wakamlazimisha mtu mmoja anaeitwa Jecha ambae alikuwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Zanzibar ZEC kufuta matokeo yote ambayo kisheria za uchaguzi na katiba ya Zanzibar haikuliani na hilo wakafuta kwa nguvu wakitumia Jeshi
    Hili ni kweli, Maalim alishinda kwa kura na hili hata mimi nililithibisha humu, Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda. Pia ni kweli matokeo yalifutwa kinyume cha sheria na sii kweli yalifutwa kwa kutumia jeshi, bali yalifutwa kwa kutumia tamko la Jecha, kwa vile kufutwa kule ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni, sheria ya uchaguzi ya ZEC imeelekeza kila kitu ya nini kilipaswa kufanyika lakini hakuna yoyote aliyafanya lolote!. Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
  4. Na baadae kuitisha uchaguzi mwengine mpya huku wakiwa wamesahau kuwa tume ilishawapa washindi wote certificate zao na kumfanya Seif Sharif Hamad kama mtoto mdogo na asiekuwa na uwelewa juu ya mambo haya katika dunia ya leo.
    Kwa vile matokeo ya uchaguzi yalifutwa kinyume cha sheria, hivyo uchaguzi wa marudio ni uchaguzi batili, kwa vile kuna kitu kilipaswa kufanywa pale Jecha alipofuta matokeo lakini hakikufanywa, na uchaguzi wa marudio ulikuwa batil lakini haukubatilishwa, niliwaeleza watu humu, ili batili iwe ni batili ni lazima ibatilishwe!, na ili haramu iwe ni haramu, ni lazima iharimishwe, batili isipobatilishwa inageuka halali, na haramu isipoharimishwa, inageuka halal!. Hata kwenye uzao wa mwanaharamu, mwanaharamu ni zao la tendo la zinaa pasipo ndoa!, ukimzini mwanamke akashika ujauzito, mtoto huyo akizaliwa bila ndoa, anakuwa ni mwana haramu, lakini baada ya kupokea taarifa ya ujauzito, ukamua kumuoa mwanamke huyo, mtoto anayazaliwa anakuwa ni mwana halali, hata kama mimba ilitungwa kwenye uzinifu!. Hata kwenye kula nguruwe au kula nyamafu, Mwislamu safi akila nguruwe au nyamafu bila kujua kuwa ni nyamafu, anakuwa hajatenda dhambi yoyote na nyama aliyokula inakuwa ni halali!. Hili nililizungumza vizuri hapa Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! . Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
  5. Kwakuwa Seif Sharif Hamad alisoma kitu kinaitwa "Political science" na akafaulu vizuri sana hapo Chuo Kikuu na kuifanyia kazi muda mrefu sana fani hio akaweza kuiambia dunia na dunia ikamuelewa na kwa kweli Taasisi moja iko Marekani inaitwa NDI ikafanya juhudi kubwa sana ya kutengeneza mpango makhususi ya kuratibu haya mpaka UN, EU, The Commonwealth, Liberal Party International na USA wakakubali kuwa ni lazima demokrasi ifate mkondo wake Zanzibar
    What is Zanzibar in UN, EU au kimataifa?. Who is NDI kwa nchi huru ya JMT?. Ukweli wa Zanzibar ni huu Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
  6. na mshindi alieshinda akabidhiwe madaraka sasa
    Ili mshindi aliteshinda akabidhiwe madaraka kwanza ni lazima atangazwe mshindi, mshindi aliyetangwa ni Dr. Shein!, tena ni mshindi halali!. Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! .
  7. Tanzania kwakuwa mara zote huwa wanacheza mchezo huu mara hii shughuli imewashinda na muda wowote Zanzibar kutatokea mabadiliko makubwa ya uongozi na utawala hili halitaki tena vikao sasa ni utekelezaji tu.
    Huu sio tuu ni uongo wa mchana kweupe bali ni ndoto ya mchana kama ya Alinacha!.
  8. Leo Ikulu ya Dar es Salaam haishi vikao kujadili ni vipi watafanyakazi na Seif Sharif Hamad huku wakijua kwamba Tanganyika kuna upinzani wa hali ya juu hivi sasa na Zanzibar CUF wanaingia madarakani na kwa upande wapili huyu alioko Zanzibar ni mwana UKAWA ndio ukaona hizi juhudi zinazofanyika za kuitia CUF katika mgogoro mkubwa wa kiuongozi na CHADEMA kuwarubuni wabunge na madiwani pamoja na kuwafungulia mashtaka Mbowe na wwenzake ili ipatikane nafuu
    Uongo!.
  9. kwa CCM iendelee kukaa madarakani lakini juhudi hizo zote haziwezi tena kufanikiwa kwasababu fedha haiwezi kuinasua siasa siasa moja kwa moja
    CCM itatawala milele!, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
  10. iliyobaki ni Serikali kukamilisha hili baadae tukaanza siasa za kistaarabu ili nchi yetu iepukane na umwagaji wa damu.
    Hakuna lolote litakalofanyika na Watanzania ni watu wa amani sana, hakuna umwagaji damu wowote!, uchaguzi mwingine ni 2020!, nothing more, nothing less!, and its very unfortunate kwa baadhi, 2020 will be too little too late!. Paskali.
 
  1. Mkuu GHIBUU, hakuna ubaya wowote mtu ukiishi kwa matumaini ya kutimia kwa ndoto fulani ambazo mtu anaziota mchana kweupe!.
  2. Rejea katika katiba yenu, mshindi wa uchaguzi wa Zanzibar anapatikana vipi?. Kwa kuwasaidia wasiojua ni kuwa mshindi wa uchaguzi wa Zabzibar, hutanguliwa na kutangazwa matokeo, kisha mshindi hutangazwa rasmi na Tume, ZEC na kukabidhiwa certificates za ushindi. Kwa uchaguzi wa Octoba 2015, matokeo ya wabunge na wawakilishi kweli yalitangazwa na watu kupewa certificates zao za ushindi, na matokeo za urais ni kweli yalionyesha Maalim Seif akiongoza, lakini hakuna matokeo yoyote rasmi ya ushindi yaliyotangazwa na ZEC na hakuna certificate yoyote ya ushindi ya urais iliyotolewa!. Hivyo hakuna aliyeshinda urais, matokeo hayakutangwa na uchaguzi wote ukafutwa kinyume cha sheria, na hakuna yoyote aliyelalamika.
  3. Hili ni kweli, Maalim alishinda kwa kura na hili hata mimi nililithibisha humu, Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda. Pia ni kweli matokeo yalifutwa kinyume cha sheria na sii kweli yalifutwa kwa kutumia jeshi, bali yalifutwa kwa kutumia tamko la Jecha, kwa vile kufutwa kule ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni, sheria ya uchaguzi ya ZEC imeelekeza kila kitu ya nini kilipaswa kufanyika lakini hakuna yoyote aliyafanya lolote!. Zanzibar Issue: Kwanini watu wanapiga kelele tu bila kuchukua hatua zozote
  4. Kwa vile matokeo ya uchaguzi yalifutwa kinyume cha sheria, hivyo uchaguzi wa marudio ni uchaguzi batili, kwa vile kuna kitu kilipaswa kufanywa pale Jecha alipofuta matokeo lakini hakikufanywa, na uchaguzi wa marudio ulikuwa batil lakini haukubatilishwa, niliwaeleza watu humu, ili batili iwe ni batili ni lazima ibatilishwe!, na ili haramu iwe ni haramu, ni lazima iharimishwe, batili isipobatilishwa inageuka halali, na haramu isipoharimishwa, inageuka halal!. Hata kwenye uzao wa mwanaharamu, mwanaharamu ni zao la tendo la zinaa pasipo ndoa!, ukimzini mwanamke akashika ujauzito, mtoto huyo akizaliwa bila ndoa, anakuwa ni mwana haramu, lakini baada ya kupokea taarifa ya ujauzito, ukamua kumuoa mwanamke huyo, mtoto anayazaliwa anakuwa ni mwana halali, hata kama mimba ilitungwa kwenye uzinifu!. Hata kwenye kula nguruwe au kula nyamafu, Mwislamu safi akila nguruwe au nyamafu bila kujua kuwa ni nyamafu, anakuwa hajatenda dhambi yoyote na nyama aliyokula inakuwa ni halali!. Hili nililizungumza vizuri hapa Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! . Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
  5. What is Zanzibar in UN, EU au kimataifa?. Who is NDI kwa nchi huru ya JMT?. Ukweli wa Zanzibar ni huu Ukweli Mchungu Zanzibar: Hakuna Mgogoro Wowote wa Kisiasa, Shein ni Rais Halali, Uchaguzi ni 2020!
  6. Ili mshindi aliteshinda akabidhiwe madaraka kwanza ni lazima atangazwe mshindi, mshindi aliyetangwa ni Dr. Shein!, tena ni mshindi halali!. Uhalali wa Rais Dr. Shein Wa Zanzibar ni Kutokana na Uchaguzi Halali, Huru na Wa Haki! .
  7. Huu sio tuu ni uongo wa mchana kweupe bali ni ndoto ya mchana kama ya Alinacha!.
  8. Uongo!.
  9. CCM itatawala milele!, Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
  10. Hakuna lolote litakalofanyika na Watanzania ni watu wa amani sana, hakuna umwagaji damu wowote!, uchaguzi mwingine ni 2020!, nothing more, nothing less!, and its very unfortunate kwa baadhi, 2020 will be too little too late!. Paskali.
Naona umeandika kishabiki sana,uchaguzi uliisha na washindi walitangazwa na hiyo tume ya jecha kwa matokeo kubandikwa kila kituo cha kupigia kura,kilicho fanyanyika 2015 ni mapinduzi kwa tanganyika kuendelea kuikalia kimabavu zanzibar.
 
Back
Top Bottom