Tetesi: Maalim Seif kukabidhiwa SMZ wakati wowote

Huu ndio unaitwa upuuzi wa kipemba ..Only Pembas ndio watabuy ujinga wako.
 
Kama kuna wanaopinga, kwa nn iwe ajabu kuwepo wanaounga mkono juhudi za Rais ?
 
Namuonea huruma Dk Shein mtu muungwana..mpaka kazeeka ghafla....ila makafiri wa Tanganyika wamemuingiza kwenye majaribu...masikini ya Mungu alishakubali kushindwa"maadam wamemchagua mwenzagu"
 
Nimeiripot hii thread. Hope soon itafutwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…