Zanzibar 2020 Maalim Seif, punguza ukali wa maneno kutunza heshima yako

Zanzibar 2020 Maalim Seif, punguza ukali wa maneno kutunza heshima yako

Dam55

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
5,641
Reaction score
11,958
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

Screenshot_20200830-221723.png


Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Mimi ninaipenda sana nchi yangu lakini Maalim hawezi kuandika kitu kama hiki.

Seif ni mtu mzima anayejisheshimu, mwanasiasa mkongwe aliyekomaa sana acheni kumchafua.
 
Huu ni uhanithi walahi!! Kiongozi mkuu wa ccm ( KM Bashiru)alijitapa ktk ufunguzi eti mitambo maalum waliyofunga imezaa matunda tayari wana wabunge 18 na madiwani 400...
 
Mzee wa watu kishachoka kuvumilia kila uchaguzi anaporwa, lazima abwatuke tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Hakuna kitu hapo.
CCM ndiyo yenye wagombea wengi wa darasa la saba sijasikia kaenguliwa mtu. Wasomi wa vyama vya upinzani na madigrii yao waliopambana na makoziweki na dizatesheni wakaweza wanashindwa kujaza fomu. Hainingii akilini.
Hivi hili Jimbo la Rhoda lipo mkoa gani mkuu? tutetee kwenye haki Kaka.
IMG_20200830_122846.jpg
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kumtumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Nafikiri ni tofauti ya utamaduni tu, kwa Zanzibar ni neno la kawaida tu ni kama watu wengi wa Pwani mtoto anaweza muita mzazi wee ila kwa makabila ya bara ni kosa kubwa
 
Kwa jamii iliyostaarabika hapo ilikuwa ni suala la kumuelekeza tu.
Kumuelekeza hadi lini?
Tutakuwa tunajenga taifa la namna gani?
Badala ya kuleta maendeleo tutatumia muda mwingi kuelekeza maana sioni mwisho wa kuelekeza kama kwenye document rahisi namna hiyo anashindwa.

Let's be serious guys, tuwape nafasi wenye uwezo sio kuoneana huruma za kishamba.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?

Hakuna viongozi wa nchi, bali wahuni wenye madaraka. Ukiona watu wanachezea uchaguzi, kuwaheshimu ni kujivika ujinga usio na malipo. Ww kwako ni lazima uwaheshimu regardless hujuma zao, maana ndio unakopatia mkate wako wa kila siku.
 
Back
Top Bottom