Zanzibar 2020 Maalim Seif, punguza ukali wa maneno kutunza heshima yako

Zanzibar 2020 Maalim Seif, punguza ukali wa maneno kutunza heshima yako

Hivi ukiingia chumba cha mtihani kwenye mitihani ya mwisho (final exams) mfano wa kidato cha sita , ukikosea hata kuandika namba yako ya mtihani na ukarejesha karatasi bila uhakiki, lawama utampa msimamizi, msahihishaji ama msoma matokeo au Wewe mwenyewe?
NEC sio NACTE.Uchaguzi sio mtihani.Ni kuhakiki ambao wanastahiki kuwa viongozi mfano masuala ya uraia na masuala ya maadili.

Mbona enzi za Kikwete na Mkapa wagombea wote walikuwa wanapata haki yao ya kikatiba ya kugombea na kuchaguliwa?

Mbona tunapoenda kuomba pasipoti tunarudishwa mara kumi kumi mpaka tujaze kwa usahihi fomu za maombi.

Mbona wanaokatwa ni wa upande mmoja tu.

Watu wa NEC wanaofanya dhuluma wajue hii ni dhuluma na malipo yao yatakuwa hapa hapa duniani.Watu wanaoshabikia uhuni wa NEC nao watapata malipo hapa hapa duniani kwa kushangilia dhuluma.

Januari Malamba amesikitishwa na uhuni wa NEC.Alitamani ashinde kihalali kwa kupitia sanduku la kura kwa vile anajiamini bado ana ushawishi.
 
K
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Kauli ya kiungwana kabisa
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
It has occurred that it is the time to call a spade spade
 
Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
Inaelekea hujui kiswahili na matumizi ya maneno yake, omba msaada ufafanuliwe tofauti ya mahani.......... Na uhani......... Hapa kuna watu na kitendo.
 
Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
Maalim atukane tuu sana ila ajue hawezi kuharibu amani ya nchi hii
images (1).jpeg


Bado tunakumbuka siasa zake za fujo na ubinafsi mkubwa
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
ninavyomjua Hussain Mwinyi ni green mamba, kwanza kakulia misri kasoma uturuki ni mujaheddin, alivyoteuliwa waziri wa afya mnajua kilichompata yule dogo na migoma ya madaktari ikaisha, sasa maalim asilete ujuaji huyu sio Dr Shain.
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Sasa ulitaka mahanithi waitwe kwa jina gani??? Halafu sio tusi hilo, ni sifa waliyonayo CCM!
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Umemsahau aliyetaka amapanue mpiga kura wake pale Dumila.

Kiongozi wa nchi unapanuaje wapiga kura wako hadharani ?
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Hayo maneno mbona hata kwenye vitabu Vitakatifu yapo nikikuita mnafiki nitakuwa nimekuonea!?
 
Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.

"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".

View attachment 1553590

Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?

Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Ina maana Jiwe na mashetani wake wanaleta ukhanithi katika dola la zenji. Haikubaliki tena sasa basi! Nimependa pale alipomalizia watatangulia mbele wauawe! Goood Policcm chukua hilo
 
View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Mbona Daniel Nsanzugwanko aliachwa agombee 2015 japo aliandika kazaliwa tarehe 3 mwezi wa saba 2015 yaani alikuwa na umri wa miezi miwili wakati anachukua form ???
 
View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Kwani sheria zinasemaje? Si ajuwe kuandika na kusoma tu? Kujaza fomu inataka uelewa wa zaidi ya kuandika na kusoma. Hilo ni jambo la kutegemea unapompa fomu ajaze mtoto wa darasa la 7.
 
Ina maana Jiwe na mashetani wake wanaleta ukhanithi katika dola la zenji. Haikubaliki tena sasa basi! Nimependa pale alipomalizia watatangulia mbele wauawe! Goood Policcm chukua hilo

Ukhanithi mwisho kisiwa cha Chumbe!
 
Back
Top Bottom