Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Acha ukhanithi weweHivi hili Jimbo la Rhoda lipo mkoa gani mkuu? tutetee kwenye haki Kaka.
View attachment 1553600
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ukhanithi weweHivi hili Jimbo la Rhoda lipo mkoa gani mkuu? tutetee kwenye haki Kaka.
View attachment 1553600
Mama yake mzazi aliwashangaa sana waliomchagua huyu mtu kuwa RaisMwambie yule bwana aliyemdhalilisha makamu wake eti mweupe na alimchagua ili ajiondolee stress. Hajui yule ni mke wa mtu? Yote tisa, kumi ni kumdhalilisha mama mzazi mgonjwa kwa kumuozesha kwa mahari ya jogoo barabarani mchana kweupee.
Mama yake mzazi aliwashangaa sana waliomchagua huyu mtu kuwa Rais
Hebu hiyo clip aliyyowaita viongozi makhanithi.Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
Wewe ukhanithi unaulinganisha na upumbavu??Kipindi wakina Kabudi wanaitwa wapumbavu na Magufuli mlikuwa wapi ?
Wewe unaamini kuwa hiyo fomu ndiyo iliyorudishwa.Kumuelekeza hadi lini?
Tutakuwa tunajenga taifa la namna gani?
Badala ya kuleta maendeleo tutatumia muda mwingi kuelekeza maana sioni mwisho wa kuelekeza kama kwenye document rahisi namna hiyo anashindwa.
Let's be serious guys, tuwape nafasi wenye uwezo sio kuoneana huruma za kishamba.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hakuna mgombea wa upinzani anayeweza kushindwa kujaza fomu. Watu wengi wenye elimu ndogo na wajinga, wamejaa CCM. Kwa nini hayo makosa yasionekane na huko CCM?Tume inaendeshwa kwa Sheria na kanuni na si huruma huruma.
Wameitwa sasa chukua hatua tuone utafanya mini? Waache ukhanith!Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
Umri nao ila bado ana ushawishi mzito sanaMaalimu kachoka sana kiafya sijui kwanini.
Kama.kweli ni makhanith wasiitwe..?Unawezaje kuwaita viongozi wa nchi makhanithi mkuu huoni Kama anavuka mipaka hapo?
Hivi ukiingia chumba cha mtihani kwenye mitihani ya mwisho (final exams) mfano wa kidato cha sita , ukikosea hata kuandika namba yako ya mtihani na ukarejesha karatasi bila uhakiki, lawama utampa msimamizi, msahihishaji ama msoma matokeo au Wewe mwenyewe?
Ulimshauri aliyesema wanawake wapanue katikati? au umeona ya maalim Seif?Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Wanajipa mamlaka yasiyo yao,wenye kujua kama achaguliwe ama akatwe ni wapiga kura.View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Waitwe tuuuuKama.kweli ni makhanith wasiitwe..?
Ccm kuna mahani..... wengiHakuna mgombea wa upinzani anayeweza kushindwa kujaza fomu. Watu wengi wenye elimu ndogo na wajinga, wamejaa CCM. Kwa nini hayo makosa yasionekane na huko CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
NdioUliongea nae akakwambia anamshangaa mwanae?.