Zanzibar 2020 Maalim Seif, punguza ukali wa maneno kutunza heshima yako

Mwambie yule bwana aliyemdhalilisha makamu wake eti mweupe na alimchagua ili ajiondolee stress. Hajui yule ni mke wa mtu? Yote tisa, kumi ni kumdhalilisha mama mzazi mgonjwa kwa kumuozesha kwa mahari ya jogoo barabarani mchana kweupee.
Mama yake mzazi aliwashangaa sana waliomchagua huyu mtu kuwa Rais
 
Maalim Seif ana miaka 77 halafu akitazama moja haisomi mbili haisomi. Akiwa katika hali ya kuelekea kukata tamaa yanamtoka matusi ya uzeeni.
 
Wewe unaamini kuwa hiyo fomu ndiyo iliyorudishwa.

CCM ni shetani. Watu wanapeleka fomu nyingine, inabandikwa nyingine. Kisha inatumika fomu bandia kumwengua mgombea. Narudia tena, CCM ni alama ya shetani. Ni chama kilichoondoka kwenye ustaarabu na kwenda kwenye primitivity ya hali ya juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Huu mfano ni Irrelevant. Hapa lengo ni uchaguzi tena kwa kuuza sera, na sio mtihani wa kujaza fomu. Ukienda Bank, kusajili line ya simu, kutaka passport nk, kote huko ukikosea kujaza fomu unapewa ujaze tena na hukatiliwi mkopo au passport, kwani lengo sio kujaza fomu kwa usahihi bali ni kupata huduma stahiki. Huo ndio utaratibu wa dunia nzima. Sio mara moja au mbili tumeona makosa ya wazi ya wabunge kwenye uandishi, mbona hawapotezi ubunge wao kwa kukosea kuandika. Acha kutetea uovu.
 
Ulimshauri aliyesema wanawake wapanue katikati? au umeona ya maalim Seif?
Unajua utamaduni na lugha za wazanzibari?
 
View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
Wanajipa mamlaka yasiyo yao,wenye kujua kama achaguliwe ama akatwe ni wapiga kura.

Wewe uliomba kazi ya kuwa refarii na siyo kazi yako kuwapangia watu mtu anayewafaa,haukupewa kazi hiyo

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Kwamba anatakiwa atumie akili yako kuwaza cha kuzungumza? Umejiuliza kwanini kayazungumza awamu hii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…