Hizo documents wanazozisambaza mitandaoni ni feki wamezichezea.Wala hakukosea kujaza kama mnavyodhani hawa jamaa wana rough mbaya sana hasa kwenye kuforge documents. Ukiwa nje unawezasema ni uzembe wa wagombea.
Kwani tume ya uchaguzi ni tume ya mtihani ?Hivi ukiingia chumba cha mtihani kwenye mitihani ya mwisho (final exams) mfano wa kidato cha sita , ukikosea hata kuandika namba yako ya mtihani na ukarejesha karatasi bila uhakiki, lawama utampa msimamizi, msahihishaji ama msoma matokeo au Wewe mwenyewe?
Rais wa sasa wa JMT huwa yupo worse kuliko haya unayomtuhumu nayo Maalim.Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Wacha kutuletea FIGISU ZA USALAMA WA TAIFA TISS katika harakati zao za mapishi
Wewe unaamini kuwa hiyo fomu ndiyo iliyorudishwa.
CCM ni shetani. Watu wanapeleka fomu nyingine, inabandikwa nyingine. Kisha inatumika fomu bandia kumwengua mgombea. Narudia tena, CCM ni alama ya shetani. Ni chama kilichoondoka kwenye ustaarabu na kwenda kwenye primitivity ya hali ya juu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua wee ndugu yangu Kuna wakati huwa nakushangaa sana.Hakuna mgombea wa upinzani anayeweza kushindwa kujaza fomu. Watu wengi wenye elimu ndogo na wajinga, wamejaa CCM. Kwa nini hayo makosa yasionekane na huko CCM?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi sitaki kuamini kuwa heti hujui kuwa uchaguzi ni kitu kinachoendeshwa kwa Sheria na kanuni na kwamba ukikosea mojawapo ya kanuni maana yake kwamba tayari umekosa vigezo vya kuendelea na mchakato wa uchaguzi.Huu mfano ni Irrelevant. Hapa lengo ni uchaguzi tena kwa kuuza sera, na sio mtihani wa kujaza fomu. Ukienda Bank, kusajili line ya simu, kutaka passport nk, kote huko ukikosea kujaza fomu unapewa ujaze tena na hukatiliwi mkopo au passport, kwani lengo sio kujaza fomu kwa usahihi bali ni kupata huduma stahiki. Huo ndio utaratibu wa dunia nzima. Sio mara moja au mbili tumeona makosa ya wazi ya wabunge kwenye uandishi, mbona hawapotezi ubunge wao kwa kukosea kuandika. Acha kutetea uovu.
Sawa kabisa kutumia maneno hayo. NEC na wasimamizi wao wankera sana. Hakuna kiongozi hapa nchini apata kuwa na maneno makali kama ya Hayati Nyerere akitendewa dhuluma.Wana JF wenzangu sijui labda ni Mimi ndio sielewi Ila kwa mtu ambaye tunategemea aje kuwa Rais alafu anatamka maneno makali kiasi hiki si picha nzuri na inamvunjia heshima.
"Na mimi nawambieni CCM. Wallahilaadhim mara hii simzuii mtu yoyote kabisa na mimi na Viongozi wenzangu tukiamua kutoka tutakua mbele mutuue sisi kwanza, lakini Ukhanithi basi katika nchi hii".
View attachment 1553590
Mhe Rais mtarajiwa unaweza kutumia neno Kama Ukhanithi tena kwenye mkutano?
Hapa anataka kumaanisha kuwa viongozi wa serikali Zanzibar ni ma......? Hii hapana kwa kweli.
Kumbe ndio mana vyombo habari Kama TBC vinakata matangazo.
Uongozi wa NECK unataka kuvuruga tunu za nchi yetu.Sawa kabisa kutumia maneno hayo. NEC na wasimamizi wao wankera sana. Hakuna kiongozi hapa nchini apata kuwa na maneno makali kama ya Hayati Nyerere akitendewa dhuluma.
Kwa jamii iliyostaarabika ni wakali kuliko hilo. Sasa kama mgombea hajui kujaza fomu ya kugombea alafu anaomba kuwaongoza watu maelfu inakaaje? Hata kama ni Profesa ni bora tupa kuleKwa jamii iliyostaarabika hapo ilikuwa ni suala la kumuelekeza tu.
Hapana hamna namnaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Chadema hawapo serious somtimes...!!View attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
hakika kiongozi hapo ni mkasi 2uuView attachment 1553596
Mtu Kama huyu kwanini asienguliwe mkuu?
Tarehe ya kuzaliwa ni 2020 mkuu huoni wana haki ya kuenguliwa hapo?
ccm huwapa semina elekezi kwa 4m za mfano wagombea wake wote kabla ya kuchukua hizo 4m halic, kama hujui tambua hiloHivi hili Jimbo la Rhoda lipo mkoa gani mkuu? tutetee kwenye haki Kaka.
View attachment 1553600
Naona leo yuko meza moja na yule khanithi, sasa sijui wote wamekuwa makhanithi ama vipi?Walichomfanyia kule Pemba siyo kizuri, tena angeongeza maneno makali zaidi muache ushamba wenu. Mnawaengua wagombea wao majimbo karibia yote hizo akili au matope.