Maalim Seif: Siasa za mivutano zinaathiri ustawi wa Zanzibar

Sefu anawaumiza sana chadema kuliko hata wafuasi wake
 
Unajua maana ya kuingia madarakani kwa mtutu wa bunduki wewe??
 
Wanasihasa wanajali matumbo yao tu! Ismail Jussa pamoja na kuvunjwavunjwa mbavu bado alikuwa analilia serikali ya umoja wa kitaifa ingawa naona kama wamemtosa!
 
Haahaa huyu mzee vumba.Ahamie ccm Basi ili kusiwe na mivutano
 
Maalimu hiyo meza unatikisa ina vinywaji vya maharusi!
 
Mamlaka ya hiyo hotuba imfikie Tundu Lisu na kibaraka wake Amsterdam na Godbless Lema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…