fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 738
- 1,017
Hiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo.
Kwani homa hii inaambukizwajwe?
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi?
Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa hili?
Je, linaambukizwajwe? Hewa, kushikana, etc?
Mwenye mwanga atusaidie waja.
Kwani homa hii inaambukizwajwe?
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi?
Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa hili?
Je, linaambukizwajwe? Hewa, kushikana, etc?
Mwenye mwanga atusaidie waja.