Mr Sir1
JF-Expert Member
- Sep 23, 2018
- 1,749
- 7,945
Mama Mashungi kwa kupenda vijipesa vya misaada hata akiambiwa atuchome moto atatuchoma achilia mbali kutufungia.Mungu atustiri tusirudi tena kwenye adha ya CORONA na masharti yake.
Mungu alitusimamia tulikuwa na Jiwe aliekataa kuyumbishwa na lockdown.
Hawa waliopo sasa pesa za watu washakula, tutafungiwa kama kuku.
Tutamkumbuka hasa Jiwe.