🤣🤣🤣🤣👋👋Ni Ule Ule Ulioanzia China, Italy Ukapukutisha Viongozi Wa Dini
Sasa Tangawizi, Limao, Ndimu, Pilipili, Vitunguu, Nyungu, Ukwaju
Anza Matumizi Haraka
Piga nyungu mapema kabla aijawa habari ingine
MkuuMbona amna alie vaa mask pale au iko contained
Mm mwenyewe Hali wiki ya pili Sasa........Hapa nna mafua mafua, na kichwa kuuma kwa mbali, koo linawasha basi nikisoma habari za corona humu navurugika tu....sijui ndio tayari🙄
Nyagi au vant? 🙄 Au kisungura?Mm mwenyewe Hali wiki ya pili Sasa........
Tumia spirit hope siku Moja mbili utakaa sawa...
Sio maneno yangu nimeambiwa na wadau...
Mungu atustiri tusirudi tena kwenye adha ya CORONA na masharti yake.
Wenyewe washajua ukweli ila hawataki kutuambia.
Wabongo wanavyopenda kupeana mikono ila angalia wanavyosalimiana hapo kwenye hiyo video.
Watuambie ukweli kabla hatujaanza kuzikana ovyo.
Wamenambia spirit hope zote izo pombekali wanasema inasaidia kumaliza kifua na mafua...Nyagi au vant? 🙄 Au kisungura?
Tutafungiwa ndani miezi 6.Mungu atiepushie mbali.Mungu atustiri tusirudi tena kwenye adha ya CORONA na masharti yake.
Mungu alitusimamia tulikuwa na Jiwe aliekataa kuyumbishwa na lockdown.
Hawa waliopo sasa pesa za watu washakula, tutafungiwa kama kuku.
Amiin.Tutafungiwa ndani miezi 6.Mungu atiepushie mbali.