Mama Mashungi kwa kupenda vijipesa vya misaada hata akiambiwa atuchome moto atatuchoma achilia mbali kutufungia.Mungu atustiri tusirudi tena kwenye adha ya CORONA na masharti yake.
Mungu alitusimamia tulikuwa na Jiwe aliekataa kuyumbishwa na lockdown.
Hawa waliopo sasa pesa za watu washakula, tutafungiwa kama kuku.
Utaona kuanzia kesho tv, radio na magazeti wataanza kuwahoji madaktari na kuiongeleaHiyo process inasemekana husababisha damu kuganda na moyo kusimama hapo hapo..
Kwani homa hii inaambukizwajwe??
Hayo maambukizi ya mfumo hewa yani mtu anaambukizwa vipi yani??
Nawezaje kutambua ninazo dalili za gonjwa hilo? Nauliza pia ili nijue nawezaje kumpatia
Huduma yakwanza mtu mwenye gonjwa hili??
Je linaambukizwajwe ?? Hewa, kushikana, etc..?
Mwenye mwanga atusaidie waja.
Na kukanusha pia mpaka mabwana zao wa kizungu waidhinishe kuwa kuna tatizo.Utaona kuanzia kesho tv, radio na magazeti wataanza kuwahoji madaktari na kuiongelea
Hujamuona Mzee Gharib Bilal,makamu wa Rais awamu ya nne?Inamaana taifa linapoteza watu wengi kimya kimya au??
Kama ni corona basi mbona sijaona mtu alie vaa mask msibani?
Sio mazoez kwa mbali mazoez kwel kweli , ili hewa ihitajike Kwa wingiNa mazoezi kwa mbaali!!
Mbona amna alie vaa mask pale au iko contained
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Usikute dalili za huo ugonjwa hutokea ghafla pale mtu anapopishana kimtazamo na kile kitengo