Maambukizi ya UKIMWI kwa wasichana ni mara tatu zaidi kwa wavulana

Wala kibamia sio shida,average ya mechi kwa ilo rika ni hivi...bao la kwanza sekunde 43-57...bao la pili dakika 1-3,bao la tatu dakika 5-9...mchubuko hapo ni never....
 
Mbali ya dunia inavyokwenda sasa bado elimu juu ya huu ugonjwa inahitajika zaidi na zaidi kwani kwa miaka ya karibuni Ukimwi hauzungumziwi kabisa watu wako busy na Corona.
Pia na Utopolo wanaaminishwa kuwa msimu wanauchukua ubingwa[emoji16]
 
Kutokuwa na maamuzi na ngono za mapema,hapo ndio naona ni tatizo kubwa sana kwao...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…