Maambukizi ya UKIMWI na tiba zake mpaka sasa

Hujakutana na daktari akiwa baa! [emoji1787][emoji1787]. Wenye visonosono, kaswende, kifua kikuu, ukosefu wa nguvu za kiume, ugumba wote out! Toka lini ugumba na ukosefu wa nguvu za kiume kwa wana ndoa ukahatarisha usalama wa wengine?
[emoji1787]
Haaahaaa ..eti doc akiwa bar[emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida yako umefunga PM

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bado somo linahitajika zaidi sijaelewa mwathirika kutoweza kumuambukiza mwingine kwakua anatumia hizi dawa,

Ni mda gani unaweza shiriki na huyu mtu atumiae dawa bila kukuambukiza

Cc Kingsmann
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…