Maamuma's Thread:Inakuwaje ikiwa....

Maamuma's Thread:Inakuwaje ikiwa....

Hebu acheni hizo hadithi za kufikirika...inaelekea suala zima la mapenzi wengi hatuna darasa la kutosha.....nakushauri wewe na wenzako hapa msome hiki kitabu

Things Your Mother Never Told You by Marion McGilvary
Kuna tips kibao za kukabiliana na jamaa mwenye shaft kubwa ama ndogo style tofauti tofauti can help na hata mdada kwenye machine ndogo kufikishana. Kuna mambo mengi sana yanaweza fantasy mapenzi.....kama mdada uko kamili kitabu hiki huwezi regret kukinunua....wadada wengi sana hawajui maumbile yao hata K zao hawazijui....kunasehemu nilicheka mwandishi anasema mdada jitanue mbele ya kioo angalia kila sehemu......chezea loohh ....tafuteni hiki kitabu...amazon kipo.....
mkuu unawaaambia watafute kitabu wakisome ni kama umeatukana......watu wanasoma vitabu wakiwa mashuleni abbot na UP kama vile......labda kama una copy kipost zeutamu kitasomeka.....
 
Usiniambie nimeelewa sivyo ndivyo?!! Siyo kwamba kufuli ikimaanisha mwanamke na umbile lake la siri na pia ufungua ni mwanaume na ni pipe??

Hebu nijuze!!!


Hapo umepatia mama...
Tupo ukurasa mmoja haya sasa tumsaidie mwenzetu sasa.
 
mkuu unawaaambia watafute kitabu wakisome ni kama umeatukana......watu wanasoma vitabu wakiwa mashuleni abbot na UP kama vile......labda kama una copy kipost zeutamu kitasomeka.....
Tehe tehe...
 
What if the diameter (thickness) of the funguo is big enough and the kofuli is so thin to the extent hata ukimuandaa still the key will make the lady sream and cry?

Naamini hapa generally tunazungumzia mwanamke mtu mzima (over 18!). Hivi kuna ufunguo unaweza kuzidi size ya mkono wa gynecologist?

Kuna wanawake wengine hawaandaliki kikwaida mpaka mpitie kwa psychologist/mshauri nasaha. Hasahasa wale waliokulia mazingira ambayo kujamiiana ni 'dhambi mbaya sana!'. Hii hupitiliza mpaka anaolewa bado anaamini ni kitendo kibaya na hivyo inakuwa vigumu kwa mwanaume kumwandaa.
 
Naamini hapa generally tunazungumzia mwanamke mtu mzima (over 18!). Hivi kuna ufunguo unaweza kuzidi size ya mkono wa gynecologist?

Kuna wanawake wengine hawaandaliki kikwaida mpaka mpitie kwa psychologist/mshauri nasaha. Hasahasa wale waliokulia mazingira ambayo kujamiiana ni 'dhambi mbaya sana!'. Hii hupitiliza mpaka anaolewa bado anaamidi ni kitendo kibaya na hivyo inakuwa vigumu kwa mwanaume kumwandaa.
Uliswahi kukutana na msomali alietahiriwa uko tungi la konyagi na yeye ndio kama hivyo babake....?
 
Usiniambie nimeelewa sivyo ndivyo?!! Siyo kwamba kufuli ikimaanisha mwanamke na umbile lake la siri na pia ufungua ni mwanaume na ni pipe??

Hebu nijuze!!!

Hukukosea sana Belinda pale kwenye Mke replace M with U na pale kwenye Mume replace firrst M with U.

Tupo pamoja
 
Uliswahi kukutana na msomali alietahiriwa uko tungi la konyagi na yeye ndio kama hivyo babake....?

Sijawahi! Mimi ni Mwanaume kamili 😀(Sio kaka poa! na wala sio msomali!). Labda uniambie wanakuwaje!
 
Hoja ya msingi:
WanaJF, naomba mnipe ufumbuzi wa tatizo ambalo lipo miongoni mwa baadhi ya wanandoa. Ntafananisha ndoa (mke na mume) kama kufuli na ufunguo. KIMAADILI ni kwamba huruhusiwi kukutana kimwili na mchumba wako hadi siku ya ndoa (au baada ya ndoa). Sasa inakuwaje:
1. Unapokuja kugundua kwamba kufuli ulilochukua haliendani na ufunguo wako? Nina maana ya majambo ya chumbani. Mtu huruhusiwi kujaribisha ufunguo kama unafunguaje kufuli, labda kwa taabu au unapwaya au hadi uweke grisi. Hapo nadhani ndio mwanzo wa mtu kwenda nje kutafuta kufuli linaloendana na ufunguo.

2. Uhusiano wa chumbani unakuwa na upungufu kama huo wa pasi kuchelewa kuwaka au haiwaki kabisa.

3. Balbu nayo inapata shoti mara kwa mara. Mnasemaje kuhusu hili? Tuendelee kuelimishana.


Katika hoja yako ya msingi kabla ya kuuliza maswali umetaja jambo moja la muhimu na la msingi sana KIMAADILI.
Hivyo katika kujibu hoja lazima tuzingatie maadili yliyosimama si yaliyobomoka.Ni kweli si ruhusa kujaribisha kufuli/funguo ikiwa dukani.
1. Unapogundua kuwa kufuli na fungua haviendani utafanyaje?
[sipendi kuelekeza mawazo katika jicho la kufuli uliyochukua haiendani na funguo yako kwasababu hili ni la kimfumo dume zaidi,ilihali inawezekana ikawa funguo uliyochukua haiendani na kufuli yako.]
Hapa ndipo akili ya mnunuzi wa kufuli au funguo anapopimwa, kuruka vihunzi si suruhisho.
Ni suala linalozungumzika.Ubabe hautakiwi au namna yoyote ya kumfanya mwenzi wako awe mnyonge.Kwa uhalisia kufuli inaweza ku-accomodate funguo ya ukubwa(kwa kipenyo) wowote;endapo tu wamiliki wafunguo na kufuli hawajapishana sana umri ie 4-5 years.Ikiwa kufuli ni kubwa ukaipa muda ilhali mmiliki anatumia zaidi pc muscle wakati wa kufungua na kufunga mambo huwa shwali, kero hazitakuwepo baadaye.Kufuli nyingi huwa zinakuwa kubwa kwasababu ya kufunguliwa mara kwa mara na funguo kubwa hivyo kujitanua ili ku-accomodate funguo hizo.
Ikiwa kufuli ni ndogo basi umuhimu wa kutumia lubricants eg KY-gelly ni muhimu.Usitumie nguvu.lakini katika mazingira yote suala la kuzungumza na mwenye kufuli kabla ya kufungua ni la muhimu sana ili awezejiandaa hat kutoa mafuta yake(lubric...) like... mlango funguka,mlango ulio bora ,isiolinganishwa, mguno kidogo... etc. Nyimbo hizo unazijua mimi nipo kindargaten. mlango[mwenye kufuli,taratiiibu hulainika na kuruhusu kufuli kutoa mafuta yake].
Hii ina-apply ikiwa fungo ni kubwa kuliko kufuli.
ikiwa funguo ni ndogo, nafikiri funguo yaweza ingizwa hivyo hivyo ndani ya kufuli lakini pia ikipitia mara kwa mara kwenye mtego[clito...].mwenye kufuli hatoudhiwa sana kwasababu mtego nao unatekenywa.

Lakini lipo tatizo la msingi wenye funguo wengi wanapenda kufuli zenye kubana, ndiyo maana wengine huruka ukuta ima kwenye kwa wenye umri mdogo SANA.wwakati upande wa pili hawapendi funguo zenye kujaa sana zaidi ya mwisho wa utanuko wa kufuli.kwa mwenye kufuli ni taaabu kwelikweli.

Kwenda tafuta kufuli za saizi si suluhisho, KUMBUKA nyingine zina KUTU.Uki-innoculate hiyo kutu usalama wa kufuli zitakazo funguliwa ni mdogo.nazo zitapata kutu.


Kwa swali la pili na la tatu, wanajamii watachangia.najua wapo waliobobea katika ushauri kwa hayo.

"Jamani hivi bado siku hizi bado unachua kufuli bila kujaribu ufunguo eh?? Sidhani kama hayo bado yapo!!!!"
Mawazo haya hayaendani na maadili mema.Pili yamezungumzia kuchua kufuli hayajazungumzia kusugua funguo.Mmmhh...

"Ukimbania jamaa ukadai mpaka siku ya harusi ndo kama jamaa iwa anaruka ukuta na kujiexpress sijui utafanyaje yeye anakwambia ndo mchezo wake mmetoka kusherekea na kuruka ruka na miplau na micake jamaa anataka kujiexpress usiku utajuuuuuuuuuuuuuuta kuolewa."
MRUKA UKUTA naye mwenye kumlazimisha mwenzake ARUKE ukuta WOTE wanamatatizo katika FIKRA zao. Ni tatizo la kisaikolojia lilidumishwa na kujiendekeza.Ni UCHAFU ki-maadili mema.

Nawasilisha.
 
What if the diameter (thickness) of the funguo is big enough and the kofuli is so thin to the extent hata ukimuandaa still the key will make the lady sream and cry?
Kelele za kufuli wakati inapofunguliwa si mara zote inamaanisha kuwa funguo imeingia penyewe.Ukweli ni kuwa kwenye kufuli hakuna-lubricant yakutosha,kuna kuna msuguano mkubwa.

Funguo imezoea misuguano lakini ndani ya kufuli ni lainiii..hakujazoea. Mwenye kufuli lazima a-scream na kulia.
 
hiyo kwa kweli mimi binafsi nilkuwa naona ni mila ya zamani kwani bythat time wanawake walikuwa sio waangaiakaji wa maisha walikuwa ni watu wa kuletewa tu kwa hiyo mtoto wa kikie ilikuwa ni raisi kuwa monotored na anapofikia miaka 14/15 anakuwa tayari kwa kuolewa na wewe muoaji unakuwa na uhakika kabisa wa kukuta seal hapo, lakini kwa sasa mtu wangu sikushauri hata kidogo, kabla ya kuoa lazima pre cheki lazima iwepo
 
Back
Top Bottom