Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
š¤£š¤£š¤£ kumekuchaUmeamka Sasaš
Nambie wifi yangu.. uko pouwa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
š¤£š¤£š¤£ kumekuchaUmeamka Sasaš
Hamna alikuwa anauliza tuuš¹š¹š¹ Huyo jamaa njuka hajui wembamba wa reli treni linapita.
Atumie formula ya āshake well before useā kutupunguzia nyuzi za malalamikoHamna alikuwa anauliza tuu
Kufuli likikutana na bonge la funguo au kinyume chake na ndio mmeoana hali inakuaje
Aminia mama la mama akili kubwaz š„š„š„š„Atumie formula ya āshake well before useā kutupunguzia nyuzi za malalamiko
Umeandika Fasaha sana, hongera yako, lakini kitamaduni inatakiwa mwanamke aolewe akiwa na (seal) wajuvi wa mambo wanasema mwanamke aliyeolewa hivyo mara nyingi huridhika na kile kitakacho kuwa offered siku hiyo na baade.Wanajamii naomba kuweka hii mada hapa ambayo maamuma alikuwa ameipost katika thread ya "The Remainder....) Nadhani inastahili kuwa thread mpya kwa heshma na taadhima naomba niiweke hapa kwa niaba ya Maamuma.(Samahani kama nitakuwa nimekosea)
WanaJF, naomba mnipe ufumbuzi wa tatizo ambalo lipo miongoni mwa baadhi ya wanandoa. Ntafananisha ndoa (mke na mume) kama kufuli na ufunguo. Kimaadili ni kwamba huruhusiwi kukutana kimwili na mchumba wako hadi siku ya ndoa (au baada ya ndoa). Sasa inakuwaje unapokuja kugundua kwamba kufuli ulilochukua haliendani na ufunguo wako? Nina maana ya majambo ya chumbani. Mtu huruhusiwi kujaribisha ufunguo kama unafunguaje kufuli, labda kwa taabu au unapwaya au hadi uweke grisi. Hapo nadhani ndio mwanzo wa mtu kwenda nje kutafuta kufuli linaloendana na ufunguo. Vinginevyo uhusiano wa chumbani unakuwa na upungufu kama huo wa pasi kuchelewa kuwaka au haiwaki kabisa. Balbu nayo inapata shoti mara kwa mara. Mnasemaje kuhusu hili? Tuendelee kuelimishana.