Hoja ya msingi:
WanaJF, naomba mnipe ufumbuzi wa tatizo ambalo lipo miongoni mwa baadhi ya wanandoa. Ntafananisha ndoa (mke na mume) kama kufuli na ufunguo. KIMAADILI ni kwamba huruhusiwi kukutana kimwili na mchumba wako hadi siku ya ndoa (au baada ya ndoa). Sasa inakuwaje:
1. Unapokuja kugundua kwamba kufuli ulilochukua haliendani na ufunguo wako? Nina maana ya majambo ya chumbani. Mtu huruhusiwi kujaribisha ufunguo kama unafunguaje kufuli, labda kwa taabu au unapwaya au hadi uweke grisi. Hapo nadhani ndio mwanzo wa mtu kwenda nje kutafuta kufuli linaloendana na ufunguo.
2. Uhusiano wa chumbani unakuwa na upungufu kama huo wa pasi kuchelewa kuwaka au haiwaki kabisa.
3. Balbu nayo inapata shoti mara kwa mara. Mnasemaje kuhusu hili? Tuendelee kuelimishana.
Katika hoja yako ya msingi kabla ya kuuliza maswali umetaja jambo moja la muhimu na la msingi sana KIMAADILI.
Hivyo katika kujibu hoja lazima tuzingatie maadili yliyosimama si yaliyobomoka.Ni kweli si ruhusa kujaribisha kufuli/funguo ikiwa dukani.
1. Unapogundua kuwa kufuli na fungua haviendani utafanyaje?
[sipendi kuelekeza mawazo katika jicho la kufuli uliyochukua haiendani na funguo yako kwasababu hili ni la kimfumo dume zaidi,ilihali inawezekana ikawa funguo uliyochukua haiendani na kufuli yako.]
Hapa ndipo akili ya mnunuzi wa kufuli au funguo anapopimwa, kuruka vihunzi si suruhisho.
Ni suala linalozungumzika.Ubabe hautakiwi au namna yoyote ya kumfanya mwenzi wako awe mnyonge.Kwa uhalisia kufuli inaweza ku-accomodate funguo ya ukubwa(kwa kipenyo) wowote;endapo tu wamiliki wafunguo na kufuli hawajapishana sana umri ie 4-5 years.Ikiwa kufuli ni kubwa ukaipa muda ilhali mmiliki anatumia zaidi pc muscle wakati wa kufungua na kufunga mambo huwa shwali, kero hazitakuwepo baadaye.Kufuli nyingi huwa zinakuwa kubwa kwasababu ya kufunguliwa mara kwa mara na funguo kubwa hivyo kujitanua ili ku-accomodate funguo hizo.
Ikiwa kufuli ni ndogo basi umuhimu wa kutumia lubricants eg KY-gelly ni muhimu.Usitumie nguvu.lakini katika mazingira yote suala la kuzungumza na mwenye kufuli kabla ya kufungua ni la muhimu sana ili awezejiandaa hat kutoa mafuta yake(lubric...) like... mlango funguka,mlango ulio bora ,isiolinganishwa, mguno kidogo... etc. Nyimbo hizo unazijua mimi nipo kindargaten. mlango[mwenye kufuli,taratiiibu hulainika na kuruhusu kufuli kutoa mafuta yake].
Hii ina-apply ikiwa fungo ni kubwa kuliko kufuli.
ikiwa funguo ni ndogo, nafikiri funguo yaweza ingizwa hivyo hivyo ndani ya kufuli lakini pia ikipitia mara kwa mara kwenye mtego[clito...].mwenye kufuli hatoudhiwa sana kwasababu mtego nao unatekenywa.
Lakini lipo tatizo la msingi wenye funguo wengi wanapenda kufuli zenye kubana, ndiyo maana wengine huruka ukuta ima kwenye kwa wenye umri mdogo SANA.wwakati upande wa pili hawapendi funguo zenye kujaa sana zaidi ya mwisho wa utanuko wa kufuli.kwa mwenye kufuli ni taaabu kwelikweli.
Kwenda tafuta kufuli za saizi si suluhisho, KUMBUKA nyingine zina KUTU.Uki-innoculate hiyo kutu usalama wa kufuli zitakazo funguliwa ni mdogo.nazo zitapata kutu.
Kwa swali la pili na la tatu, wanajamii watachangia.najua wapo waliobobea katika ushauri kwa hayo.
"Jamani hivi bado siku hizi bado unachua kufuli bila kujaribu ufunguo eh?? Sidhani kama hayo bado yapo!!!!"
Mawazo haya hayaendani na maadili mema.Pili yamezungumzia kuchua kufuli hayajazungumzia kusugua funguo.Mmmhh...
"Ukimbania jamaa ukadai mpaka siku ya harusi ndo kama jamaa iwa anaruka ukuta na kujiexpress sijui utafanyaje yeye anakwambia ndo mchezo wake mmetoka kusherekea na kuruka ruka na miplau na micake jamaa anataka kujiexpress usiku utajuuuuuuuuuuuuuuta kuolewa."
MRUKA UKUTA naye mwenye kumlazimisha mwenzake ARUKE ukuta WOTE wanamatatizo katika FIKRA zao. Ni tatizo la kisaikolojia lilidumishwa na kujiendekeza.Ni UCHAFU ki-maadili mema.
Nawasilisha.