Maamuma's Thread:Inakuwaje ikiwa....

Umeandika Fasaha sana, hongera yako, lakini kitamaduni inatakiwa mwanamke aolewe akiwa na (seal) wajuvi wa mambo wanasema mwanamke aliyeolewa hivyo mara nyingi huridhika na kile kitakacho kuwa offered siku hiyo na baade.
Lakini wengi wao wanakuwa wameguswa sana, wameshaona Kila aina ya ufunguo, huyo anaeambiwa mpaka ndoa kwa kweli ni kama kapigwa vumbi la macho. Siku hiyo ufunguo ukiingia linakutwa bwawa.
Ama ufunguo kuwa mkubwa hiyo ni kwenda hospitalini na kupata nasaha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…