Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Hii si kwamba unaandika script mkuu?

Kama Ni Hali halisi Basi utakuwa umetenda Jambo ambalo Ni la hekima na unusual kwa nature ya sisi wanaume.

Hongera sana kwa utangulizi.
Mkuu sijawahi kuwaza ku fake jambo nyeti kama hili.
Hii ni habari ya kweli na maamuzi haya yana siku 3.
Najua ni magumu hadi najishangaa lakini sitarudi nyuma kwani nilifanya kwa msukumo wa ndani ya moyo
 
Mkuu wewe ni time Traveller uliishi zama za Yesu sasa umerudi katika ulimwengu huu[emoji23][emoji23][emoji23] Sema anyway itakuwa unampenda sana huyo mdada lakini Angalia usiwe unategemea kulipwa wema 100% huyo dada anaweza kuendeleza mechi za ugenini na Jamaa aliekataa mimbaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Maana wanawake achana nao mkuu.
 
Back
Top Bottom