Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Maamuzi Magumu: Nimeamua kuwa baba wa mtoto wa rafiki yangu

Sasa kwa kuwa ufahamu ndio maana unafahamishwa sio dhambi wewe kutokufahamu ila ikitokea unafahamishwa shukuru maana ni Jambo jipya kwako au unahisi nakukaripia
Tatizo unanifokea
 
Sikutegemea kuona mwanamke kumfhihaki mwanamke mwenzie.
Hivi unafikiri ningekutaka wewe ambaye sio (single parent) ningeshindwa?
Tuwekage akiba ya maneno na fake id zisitufanye tuwe fake
Hapo nimedhihaki Nini Sasa Mimi nimemjibu chizi maarifa alichoandika hafu Mimi huangalia Jambo kwa angle tofauti tofauti, na Wala haihusiki na kashfa.
[emoji23][emoji23]Mkuu unitake Mimi ili iweje Mimi sitamfuti mwanaume, na pia wanaume wenye akili timamu Sasa wewe ungenipatia wapi.[emoji23][emoji23][emoji23]eti ungenitaka loh! Relax
 
Mkuu unitake Mimi ili iweje Mimi sitamfuti mwanaume, na pia wanaume wenye akili timamu Sasa wewe ungenipatia wapi.
Duuh kwamba mdau hana akili timamu au nimeelewa vibaya?
Hiki kiherehere changu kudakia bifu lenu usije nipiga mtama kama Mbasha ..😀
 
Hapo nimedhihaki Nini Sasa Mimi nimemjibu chizi maarifa alichoandika hafu Mimi huangalia Jambo kwa angle tofauti tofauti, na Wala haihusiki na kashfa.
[emoji23][emoji23]Mkuu unitake Mimi ili iweje Mimi sitamfuti mwanaume, na pia wanaume wenye akili timamu Sasa wewe ungenipatia wapi.[emoji23][emoji23][emoji23]eti ungenitaka loh! Relax
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]naipenda sana jf.
Kila mtu matawi lakini uhalisia tunaujua wenyewe[emoji28][emoji28][emoji28]
Post hii nitakukumbusha siku moja
 
Duuh kwamba mdau hana akili timamu au nimeelewa vibaya?
Hiki kiherehere changu kudakia bifu lenu usije jipiga mtama kama Mbasha ..😀
Hahaaa kaniambia eti akinitaka lazima anipate tu bila chenga yoyote in short sijui kanionaje aisee, maana kwa hii mada yake tu mhhh.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ya kudakia vitu Mimi natembeza tu mitama kwa kwenda mbele
 
Duuh kwamba mdau hana akili timamu au nimeelewa vibaya?
Hiki kiherehere changu kudakia bifu lenu usije jipiga mtama kama Mbasha ..😀
Mkuu napenda kusema kuwa abarikiwe sana Melo aliyetupa uwexo wa kuwa na id fake.
Kuna watu wangejua wangepita kimya kimya tu
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]naipenda sana jf.
Kila mtu matawi lakini uhalisia tunaujua wenyewe[emoji28][emoji28][emoji28]
Post hii nitakukumbusha siku moja
Wewe ndo umekuja kujimwambafai humu mkuu, ndio maana nikawa na wasiwasi humu JF kila mtu Yuko vizuri usipokuwa Mimi tu
 
Hahaaa kaniambia eti akinitaka lazima anipate tu bila chenga yoyote in short sijui kanionaje aisee, maana kwa hii mada yake tu mhhh.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hii ya kudakia vitu Mimi natembeza tu mitama kwa kwenda mbele
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]oooh Lord
 
Wewe ndo umekuja kujimwambafai humu mkuu, ndio maana nikawa na wasiwasi humu JF kila mtu Yuko vizuri usipokuwa Mimi tu
Nisiseme mengi bure nisijetoka nje ya reli...tutaonana tena
 
Wewe ndo umekuja kujimwambafai humu mkuu, ndio maana nikawa na wasiwasi humu JF kila mtu Yuko vizuri usipokuwa Mimi tu
Lakini hakuna mahali nimejifagilia
 
Nami nimepitia Kama yako. Nilifikiria kuja na andiko. Ila ntaweka nami yangu ni story ya kweli
 
That's the spirit mkuu.
Unapotezea maisha yanaenda hakuna haja yakutengeneza adui.
Unaweza kuta mtaani nyie mnajuana na cariha lakini hapa hamjui kama mnajuana na kuheshimiana sana.
mimi ni memba tangu 2013.
Ninafahamiana na wengi pasipo wao kujua hii ni id ya nani.
Kina wakati mshikaji wako anakutukana lkn unajikaza asigundue na kibaya zaidi undani wake waujua.
Kina post hapo juu nimemsifu Melo kwa kichaka hiki ambacho tunajoficha[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Back
Top Bottom