Maamuzi magumu...!


hahhaaaaaaaaa, mambuzzzzzzzzzzzzzzzzz

dogo sasa ntakulima ban ya server!!

LOL

ngoja wenye jamvi waje leo ntakoma
 
Heheheee halafu kuna yule Sauda Kiroboto na shostito wake Mwadawa Mcharuko. Heheheeee hawa wawili hawa....daaaah!
Kulaleki! uskute hayo ni real names ya JF members ambao avatar zao zinatupelekesha resi balaa na tunawaPM deili. Mkuu lazima utakuwa selebriti wa kwa mtogole tu
 
Reactions: Mbu

...hapo sasa, halafu mkiambiwa love is not blindness but a choice not to think mnabisha!....unawezaje ku predict future namna hii?



...hapo sasa, iwapo ulijiaminisha one of your ex was everything, except kwa hizo hasira zake za kuua mtu...kwanini asijipe 2nd thoughts akijitahidi 'kujifanyisha' mpoleeeee hatosulubiwa?



....sahihi kabisa freema agyeman, lakini bahati mbaya uwezo wa kifedha pia unachukua nafasi kubwa kwenye maamuzi haya, chunguza.
 

......salaaaaaaaaaaaaale!


hahhaaaaaaaaa, mambuzzzzzzzzzzzzzzzzz

dogo sasa ntakulima ban ya server!!

LOL

ngoja wenye jamvi waje leo ntakoma

....aissseeeeeeeeeeeee!?

hii kweli ni blue monday kwangu!
am out!

 
haya ndo matatizo ya kuendelea kuwasiliana na maex, Mbu mpenzi huyu dada hakuna anaempenda kati ya hao watatu,

naona kama napenda huduma zao tu
 


......salaaaaaaaaaaaaale!




....aissseeeeeeeeeeeee!?

hii kweli ni blue monday kwangu!
am out!


Mkuu leo si ndio siku ya mafeedback? mbona unaendelea kukusanya ushauri tu? au mdada kaextend ?
 
Reactions: Mbu
Leo nimeingia JF kwa ajili yako tu shemeji yangu. Haya nimefarijika 'kukuona' ulale salama

(Ongea taratibu Mbu asisikie)

Msalimie Mbu, Mzee wa Ushauri!!
Dah! aisee skujua nina bahati kiasi hiki, asante na ubarikiwe sana shem, hivi hajarudi nyumbani mpaka mida hii huyu Mbu? au ule ushauri umezaa mengine? halaf hata feedback hajaleta. Salam zimefika shem. Ulale salama shem na uniote nakogeshwa na Lizzy.
 
Mkuu leo si ndio siku ya mafeedback? mbona unaendelea kukusanya ushauri tu? au mdada kaextend ?

...dahhh, kaka ...si unaona hata hizo quote zenyewe zilikuwa 6:58am....au setting ya time yako inasomekaje? yangu GMT bana, ushauri umepokelewa, kwa waoow! noooooooo, really?....aaaaaahhhh, anyway! nyiiiingi!....sasa tusubiri matokeo tu...nitawapa feedback.


Leo nimeingia JF kwa ajili yako tu shemeji yangu. Haya nimefarijika 'kukuona' ulale salama(Ongea taratibu Mbu asisikie)

Msalimie Mbu, Mzee wa Ushauri!!
 
Last edited by a moderator:


....maaaazeee....kuna maneno mwj1 ameyaficha pale juu, umeyaona?....lol...haya bana.
back to topik....hivi ushawahi kuusikia wimbo huu?




umeyasikiza vizuri maneno na ujumbe wake?....i have been there bro,....najua 'machungu'
ya kuambiwa "am sorry darling, today is not your day!"....mapenzi haya, acha tu yawahi...
 
Last edited by a moderator:

Daaaah! ama kweli mzoea tenge havai jeans , khaaaa! ndo nayashtukia sasa hivi yale maneno invisible, ama kweli leo siku ya lawyer dah!
Mbu ningekushauri ubadilishe ID tu lol
 
Last edited by a moderator:
Daaaah! ama kweli mzoea tenge havai jeans , khaaaa! ndo nayashtukia sasa hivi yale maneno invisible, ama kweli leo siku ya lawyer dah!
Mbu ningekushauri ubadilishe ID tu lol

hahahahahaha! Never!!!....mbu keshakumbana na maskendeli makubwa sana maishani,
kwa umri huu tena? wala sitakimbia kivuli changu kama kunguru aukimbiavyo ubawa wake...

...utani pembeni wakili maarufu, ushawahi kukisoma hiki kitabu?
find it!
 

hahahahahaha! Never!!!....mbu keshakumbana na maskendeli makubwa sana maishani,
kwa umri huu tena? wala sitakimbia kivuli changu kama kunguru aukimbiavyo ubawa wake...

...utani pembeni wakili maarufu, ushawahi kukisoma hiki kitabu?
find it!

heheeh sijawahi mkuu lakini nikiunganisha title ya kitabu na ule wimbo wa kwanza basi Lawyer nishapata konklushen ya unachokusudia. Dah! mie nitauchuna tu ili watoto wasije wakaelewa lol
 
Reactions: Mbu
Hivi mkuu moskwito unataka kuniambia seriously unakubaliana na dilemma ya huyo mdada?
 
Reactions: Mbu

.....e bana wee....unakwenda kasi mno...utapindua gari bure....hiyo konklusheni mnnhhh!?
well,....

mimi nimekupa wimbo wa judy boucher usikilize ujumbe wake mkaka anavyoambiwa...(yalishawahi nikuta hayo!)
kisha nimekupa title ya kitabu hapo kama hujakisoma, online unaweza pata excerpts pia...

....haya mapenzi haya! usiombee braza klorokwini...kuna kipindi dilema inakupata bila mwenyewe kujitambua...remember;
too good to leave, too bad to stay!
 

Mkuu moskwito leo hapa to be honest kichwa hakichaji kabisa yaani, lakini kama kesho nitapata kaupenyo nitakuja unipe darasa, ningependa kuskia view yako na what daz that book has to offer, BTW hivi unaikumbuka ile mada yako ya misukule ya mapenzi? eniwei tuweke kiporo (niko vere bizee siku hizi sina guarantee ya kuingia lakini nitajitahidi kesho nihudhurie)
Usiku mwema kaka.
 

haina noma mkuu...
usiku mwema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…