Maamuzi ya Hayati Magufuli yaigharimu Tanzania zaidi ya Bilioni 266

Maamuzi ya Hayati Magufuli yaigharimu Tanzania zaidi ya Bilioni 266

Maamuzi ya kijasiri ya Magufuli wacha yaigharimu nchi hayo mapesa, hatuwezi kukaa na mikataba ya hovyo yenye unyonyaji kwa taifa, huku walafi wachache walioingia wakifaidi 10% halafu nije kumlaumu Magufuli aliyeivunja, Never.

Wacha tudaiwe lakini heshima yetu iwepo, mbona deni la taifa lenyewe kila siku linaongezeka, tumeshazoea kuishi kwa madeni, wacha ibaki hivyo.

Kwangu Magufuli kwenye hili ni genius, naamini iko siku, hata huu wa Samia na DPW yake nao utavunjwa, wakati huo Samia akiwa amelala kaburini na laana.
Hii comment imenipa nguvu sana, amani ya bwana iwe nawe.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Maamuzi ya magufuli yalikuwa sahihi maana kampuni ilikiuka masharti.ilikiuka haina faida yeyote kwa nchi.kwa kuwa kwa sasa tuna rais dhaifu ameelekeza kampuni ishinde ili aonekane magufuli ni mbaya.
 
Sawa mgodi ukirudishwa kwa umma nani alipe hizo hii amount? Je unaakika gani kama huu godi hatapewa mtu mwingine kwa mkataba mbovu zaidi ya huu uliovunjwa?
Nyie mpoje? Sasa akipewa mwingine kwa mkataba mbovu inamhusu nini Magufuli? Yeye alishatimiza wajibu wake, nyie shauri yenu.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Maamuzi ya magufuli yalikuwa sahihi maana kampuni ilikiuka masharti.ilikiuka haina faida yeyote kwa nchi.kwa kuwa kwa sasa tuna rais dhaifu ameelekeza kampuni ishinde ili aonekane magufuli ni mbaya.
bado hadi leo unaamini hivi?
 
Back
Top Bottom