Maamuzi ya Hayati Magufuli yaigharimu Tanzania zaidi ya Bilioni 266

Maamuzi ya Hayati Magufuli yaigharimu Tanzania zaidi ya Bilioni 266

Wakulaumiwa ni Kikwete aliyeingia mikataba ya kipuuzi. Kama ambavyo tutamlaumu Samia kwa mikataba yake ya Dubai.

Magufuli alifanya kilichotakiwa kufanyika ili kuinusuru nchi. Akaleta na sheria mpya ya kulinda rasilimali zetu, tuanze upya, UPUMBAVU wa zamani usijirudie.

Inaumiza SANA SANA leo kuona upumbavu umerudi tena, na sheria inakwenda kubadilishwa ili kuhalalisha UPUMBAVU.

Wanaoitwa usalama wa taifa wapo wanashangaa shangaa tu, kiongozi wa nchi anadanganywa na kundi la wahuni. Hayo maslahi ya nchi mnayoyalinda ni yapi hayo???
Wanalinda ujinga tu
 
Kwanza huo mkataba wa ovyo hakuingia Magufuli, pili bora tulipishwe hiyo amount kuliko madini kuchotwa milele. Kulipishwa fidia sio mara zote ni hasara mfano hatujui investment iliyokwishafanyika.

Hizo tunazolipa ni gharama za uzembe wa mikataba ya ovyo. Acha tule hasara kwa ujinga wetu. Mbaya zaidi usikute kuna Watanzania "wazito" walikuwa na shares mlango wa nyuma.

Imagine Nachingwea Nickel ltd iko incorporated huko UK! Michongo tu ndio maana mzilankende akaona aifyatue miradi irudi kwa umma kwanza.
Huyo jaama kuna kito aliwekeza cha maana au ni kama yule wa bagamoyo tu amekaa hapo bila kuendeleza shamba
 
Kwanza tujue huo mkataba ni wa hovyo kivipi? Ikiwa kulikuwa na uzembe, sheria inaruhusu wahusika wote kuchangia kulipa fidia inayodaiwa?
 
Ujinga mtupuuu, mbona hayo hayakuwepo wakati yeye yupo Hai??.


Sema Serikali ya Samia ,ni legelege, mbovuuu
Huu ndo ukweli serikali imeshaakuwa shamba la bibi .ni kama mwanamke Malaya kila mwanaume anayejaribu kurusha ndoana inanasa lazima wajitokeze tu vidume kila siku kula uroda
 
Hivi kweli kuna serikali inashindwa kubifadhi madoni mpaka umpatie mtu wa nje?Nchi ilistahili kuvunja huo mkataba kwa gharama yoyote.Hii milataba iliingiwa na serikali ya kikwete wakqti wa vuguvugu la uchaguzi uliomwingiza Magufuli mqdarakani
 
Hivi karibuni, Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji, ambayo ni sehemu ya Benki ya Dunia, imefunga usuluhishi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tume hiyo imetoa adhabu yake, ikiamuru Tanzania kulipa fidia ya zaidi ya Dola za Marekani Milioni 109.5 sawa na takribani bilioni 266 za kitanzania (ikiwa ni pamoja na limbikizo la riba) kwa wadai. Adhabu hii inahusu madai ya uharibifu kutokana na kunyang'anywa kwa mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill kwa njia isiyo halali.

Indiana Resources Limited (ASX: IDA), ambayo ni mmiliki mkuu wa kampuni za Ntaka Nickel Holdings Ltd, Nachingwea UK Ltd, na Nachingwea Nickel Ltd, ambao kwa Pamoja ni "wadai", katika mgogoro huu, imetoa sasisho kuhusu tukio hili. Kwamba Indiana ndiye msimamizi wa miradi tajwa hapo juu ambayo shughuli zake ndio kiini cha mgogoro huu dhidi ya Tanzania.

Adhabu hiyo imetolewa baada ya jopo la usuluhishi kubaini kuwa Tanzania ilinyang'anya mradi huo kinyume cha sheria mnamo tarehe 10 Januari 2018, na hivyo kukiuka Mkataba wa Uwekezaji wa Kimataifa kati ya Uingereza na Tanzania. Hivyo basi, Tanzania imeamriwa kulipa fidia pamoja na hasara zingine, ikiwemo na malimbikizo ya riba kwa kiwango cha 2%. Riba hii ni juu ya kiwango cha msingi cha Dola za Marekani kuanzia tarehe ya kunyang'anywa miradi hadi tarehe ya malipo.

Katika maamuzi yake, Tume hii imeamua kuibebesha Tanzania gharama za usuluhishi, ikiwa ni pamoja na ada na gharama za Tume. Aidha, Tanzania imeamriwa pia kulipa gharama walizoingia wadai katika usuluhishi huo.

Katika taarifa yake kupitia mwenyekiti mtendaji ndugu Bronwyn Barnes, Indiana Resources Limited imeeleza furaha yake juu ya maamuzi haya. Imesisitiza kuwa kiasi cha adhabu kinathibitisha uwekezaji mkubwa ambao umepotea kutokana na kunyang'anywa kwa mradi huo na amewashukuru wanahisa ambao wamemsaidia katika kipindi chote cha usuluhishi.

Indiana sasa inakusudia kuanza mchakato wa kukazia hukumu hiyo. Ni muhimu kutambua kuwa Mkataba wa Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji umepitishwa na nchi wanachama 158 wa Benki ya Dunia, ikiwa ni pamoja na Tanzania. Hii inamaanisha kuwa adhabu yoyote iliyotolewa na tume hiyo inaweza kutekelezwa katika nchi hizo kama uamuzi wa mahakama zao wenyewe.

Kwa upande wake, Bronwyn Barnes ameahidi kuendelea kuwajulisha wanahisa kadri mchakato wa utekelezaji unavyoendelea.

Historia ya madai haya inaanzia tarehe 21 Aprili 2015, ambapo Tanzania ilitoa Leseni ya Kuhifadhi kwa Mradi huo. Hata hivyo, mnamo Julai 2017, Serikali ya Tanzania ilibadilisha Sheria ya Madini ya 2010 na kuondoa daraja la Leseni ya Kuhifadhi bila kutoa mbadala wake.

Kufikia tarehe 10 Januari 2018, Tanzania ilichapisha kanuni mpya za madini, zilizoweka bayana kuwa leseni za kuhifadhi hazitakuwepo tena na haki zote zilirejeshwa kwa Serikali. Indiana Resources Limited ilishiriki katika majadiliano na Serikali ya Tanzania kuanzia Januari 2018 hadi Desemba 2019, kujaribu kutatua suala la umiliki wa mradi huo. Hata hivyo, jitihada hizo hazikuzaa matunda na Serikali ya Tanzania ilifanya tangazo la mwaliko wa umma kwa zabuni ya pamoja kwa maendeleo ya maeneo yaliyokuwa chini ya leseni za kuhifadhi.

Maamuzi haya ya Tume ya usuluhishi ni muhimu sana kwa Indiana Resources Limited na wadai wengine, kwani inawakumbusha umuhimu wa kulinda na kuheshimu mikataba ya uwekezaji. Pia inatupa fundisho kuhusu jukumu letu la kuhakikisha kuwa haki za wawekezaji zinalindwa na kwamba serikali zinaheshimu mikataba iliyosainiwa.

Hii pia inatoa fursa kwa nchi yetu, Tanzania, kutathmini upya sera zake za uwekezaji na kuhakikisha kwamba inashirikiana vizuri na wawekezaji ili kuleta maendeleo endelevu ya uchumi wetu na kuvutia uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni.

Pia soma: Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260
Mh Lissu alisema akaishia kumiminiwa risasi na Mungu akaamua kuinusuru nchi na shida zaidi.
 
Wakulaumiwa ni Kikwete aliyeingia mikataba ya kipuuzi. Kama ambavyo tutamlaumu Samia kwa mikataba yake ya Dubai.

Magufuli alifanya kilichotakiwa kufanyika ili kuinusuru nchi. Akaleta na sheria mpya ya kulinda rasilimali zetu, tuanze upya, UPUMBAVU wa zamani usijirudie.

Inaumiza SANA SANA leo kuona upumbavu umerudi tena, na sheria inakwenda kubadilishwa ili kuhalalisha UPUMBAVU.

Wanaoitwa usalama wa taifa wapo wanashangaa shangaa tu, kiongozi wa nchi anadanganywa na kundi la wahuni. Hayo maslahi ya nchi mnayoyalinda ni yapi hayo???
Usalama wa Taifa wapo Kwa ajili ya kuwathibiti Chadema tu
 
Hivi karibuni, Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji, ambayo ni sehemu ya Benki ya Dunia, imefunga usuluhishi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tume hiyo imetoa adhabu yake, ikiamuru Tanzania kulipa fidia ya zaidi ya Dola za Marekani Milioni 109.5 sawa na takribani bilioni 266 za kitanzania (ikiwa ni pamoja na limbikizo la riba) kwa wadai. Adhabu hii inahusu madai ya uharibifu kutokana na kunyang'anywa kwa mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill kwa njia isiyo halali.

Indiana Resources Limited (ASX: IDA), ambayo ni mmiliki mkuu wa kampuni za Ntaka Nickel Holdings Ltd, Nachingwea UK Ltd, na Nachingwea Nickel Ltd, ambao kwa Pamoja ni "wadai", katika mgogoro huu, imetoa sasisho kuhusu tukio hili. Kwamba Indiana ndiye msimamizi wa miradi tajwa hapo juu ambayo shughuli zake ndio kiini cha mgogoro huu dhidi ya Tanzania.

Adhabu hiyo imetolewa baada ya jopo la usuluhishi kubaini kuwa Tanzania ilinyang'anya mradi huo kinyume cha sheria mnamo tarehe 10 Januari 2018, na hivyo kukiuka Mkataba wa Uwekezaji wa Kimataifa kati ya Uingereza na Tanzania. Hivyo basi, Tanzania imeamriwa kulipa fidia pamoja na hasara zingine, ikiwemo na malimbikizo ya riba kwa kiwango cha 2%. Riba hii ni juu ya kiwango cha msingi cha Dola za Marekani kuanzia tarehe ya kunyang'anywa miradi hadi tarehe ya malipo.

Katika maamuzi yake, Tume hii imeamua kuibebesha Tanzania gharama za usuluhishi, ikiwa ni pamoja na ada na gharama za Tume. Aidha, Tanzania imeamriwa pia kulipa gharama walizoingia wadai katika usuluhishi huo.

Katika taarifa yake kupitia mwenyekiti mtendaji ndugu Bronwyn Barnes, Indiana Resources Limited imeeleza furaha yake juu ya maamuzi haya. Imesisitiza kuwa kiasi cha adhabu kinathibitisha uwekezaji mkubwa ambao umepotea kutokana na kunyang'anywa kwa mradi huo na amewashukuru wanahisa ambao wamemsaidia katika kipindi chote cha usuluhishi.

Indiana sasa inakusudia kuanza mchakato wa kukazia hukumu hiyo. Ni muhimu kutambua kuwa Mkataba wa Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji umepitishwa na nchi wanachama 158 wa Benki ya Dunia, ikiwa ni pamoja na Tanzania. Hii inamaanisha kuwa adhabu yoyote iliyotolewa na tume hiyo inaweza kutekelezwa katika nchi hizo kama uamuzi wa mahakama zao wenyewe.

Kwa upande wake, Bronwyn Barnes ameahidi kuendelea kuwajulisha wanahisa kadri mchakato wa utekelezaji unavyoendelea.

Historia ya madai haya inaanzia tarehe 21 Aprili 2015, ambapo Tanzania ilitoa Leseni ya Kuhifadhi kwa Mradi huo. Hata hivyo, mnamo Julai 2017, Serikali ya Tanzania ilibadilisha Sheria ya Madini ya 2010 na kuondoa daraja la Leseni ya Kuhifadhi bila kutoa mbadala wake.

Kufikia tarehe 10 Januari 2018, Tanzania ilichapisha kanuni mpya za madini, zilizoweka bayana kuwa leseni za kuhifadhi hazitakuwepo tena na haki zote zilirejeshwa kwa Serikali. Indiana Resources Limited ilishiriki katika majadiliano na Serikali ya Tanzania kuanzia Januari 2018 hadi Desemba 2019, kujaribu kutatua suala la umiliki wa mradi huo. Hata hivyo, jitihada hizo hazikuzaa matunda na Serikali ya Tanzania ilifanya tangazo la mwaliko wa umma kwa zabuni ya pamoja kwa maendeleo ya maeneo yaliyokuwa chini ya leseni za kuhifadhi.

Maamuzi haya ya Tume ya usuluhishi ni muhimu sana kwa Indiana Resources Limited na wadai wengine, kwani inawakumbusha umuhimu wa kulinda na kuheshimu mikataba ya uwekezaji. Pia inatupa fundisho kuhusu jukumu letu la kuhakikisha kuwa haki za wawekezaji zinalindwa na kwamba serikali zinaheshimu mikataba iliyosainiwa.

Hii pia inatoa fursa kwa nchi yetu, Tanzania, kutathmini upya sera zake za uwekezaji na kuhakikisha kwamba inashirikiana vizuri na wawekezaji ili kuleta maendeleo endelevu ya uchumi wetu na kuvutia uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni.

Pia soma: Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260
Umekosea kuandika kichwa Cha Uzi wako ungeandika hivi

Maamuzi ya hayati Magufuli ya kuvunja mikataba mizuri yenye tija Kwa Taifa tuliyoingia na wawekezaji wazungu yaigalimu Tanzania
 
Maamuzi ya kijasiri ya Magufuli wacha yaigharimu nchi hayo mapesa, hatuwezi kukaa na mikataba ya hovyo yenye unyonyaji kwa taifa, huku walafi wachache walioingia wakifaidi 10% halafu nije kumlaumu Magufuli aliyeivunja, Never.

Wacha tudaiwe lakini heshima yetu iwepo, mbona deni la taifa lenyewe kila siku linaongezeka, tumeshazoea kuishi kwa madeni, wacha ibaki hivyo.

Kwangu Magufuli kwenye hili ni genius, naamini iko siku, hata huu wa Samia na DPW yake nao utavunjwa, wakati huo Samia akiwa amelala kaburini na laana.
Kweli kabisa hata ule wa acacia tuliubomoa..magufuli aliushindwa ule wa gesi tu ya mtwara. Lakini ipo siku angeubomoa pia. Haiwezekani sie tutumie 20% ya gas halafu nyingine iende nje kutajirisha wao.
 
Hivi karibuni, Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji, ambayo ni sehemu ya Benki ya Dunia, imefunga usuluhishi dhidi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tume hiyo imetoa adhabu yake, ikiamuru Tanzania kulipa fidia ya zaidi ya Dola za Marekani Milioni 109.5 sawa na takribani bilioni 266 za kitanzania (ikiwa ni pamoja na limbikizo la riba) kwa wadai. Adhabu hii inahusu madai ya uharibifu kutokana na kunyang'anywa kwa mradi wa Nikeli wa Ntaka Hill kwa njia isiyo halali.

Indiana Resources Limited (ASX: IDA), ambayo ni mmiliki mkuu wa kampuni za Ntaka Nickel Holdings Ltd, Nachingwea UK Ltd, na Nachingwea Nickel Ltd, ambao kwa Pamoja ni "wadai", katika mgogoro huu, imetoa sasisho kuhusu tukio hili. Kwamba Indiana ndiye msimamizi wa miradi tajwa hapo juu ambayo shughuli zake ndio kiini cha mgogoro huu dhidi ya Tanzania.

Adhabu hiyo imetolewa baada ya jopo la usuluhishi kubaini kuwa Tanzania ilinyang'anya mradi huo kinyume cha sheria mnamo tarehe 10 Januari 2018, na hivyo kukiuka Mkataba wa Uwekezaji wa Kimataifa kati ya Uingereza na Tanzania. Hivyo basi, Tanzania imeamriwa kulipa fidia pamoja na hasara zingine, ikiwemo na malimbikizo ya riba kwa kiwango cha 2%. Riba hii ni juu ya kiwango cha msingi cha Dola za Marekani kuanzia tarehe ya kunyang'anywa miradi hadi tarehe ya malipo.

Katika maamuzi yake, Tume hii imeamua kuibebesha Tanzania gharama za usuluhishi, ikiwa ni pamoja na ada na gharama za Tume. Aidha, Tanzania imeamriwa pia kulipa gharama walizoingia wadai katika usuluhishi huo.

Katika taarifa yake kupitia mwenyekiti mtendaji ndugu Bronwyn Barnes, Indiana Resources Limited imeeleza furaha yake juu ya maamuzi haya. Imesisitiza kuwa kiasi cha adhabu kinathibitisha uwekezaji mkubwa ambao umepotea kutokana na kunyang'anywa kwa mradi huo na amewashukuru wanahisa ambao wamemsaidia katika kipindi chote cha usuluhishi.

Indiana sasa inakusudia kuanza mchakato wa kukazia hukumu hiyo. Ni muhimu kutambua kuwa Mkataba wa Tume ya Kimataifa ya Kusuluhisha Migogoro ya Uwekezaji umepitishwa na nchi wanachama 158 wa Benki ya Dunia, ikiwa ni pamoja na Tanzania. Hii inamaanisha kuwa adhabu yoyote iliyotolewa na tume hiyo inaweza kutekelezwa katika nchi hizo kama uamuzi wa mahakama zao wenyewe.

Kwa upande wake, Bronwyn Barnes ameahidi kuendelea kuwajulisha wanahisa kadri mchakato wa utekelezaji unavyoendelea.

Historia ya madai haya inaanzia tarehe 21 Aprili 2015, ambapo Tanzania ilitoa Leseni ya Kuhifadhi kwa Mradi huo. Hata hivyo, mnamo Julai 2017, Serikali ya Tanzania ilibadilisha Sheria ya Madini ya 2010 na kuondoa daraja la Leseni ya Kuhifadhi bila kutoa mbadala wake.

Kufikia tarehe 10 Januari 2018, Tanzania ilichapisha kanuni mpya za madini, zilizoweka bayana kuwa leseni za kuhifadhi hazitakuwepo tena na haki zote zilirejeshwa kwa Serikali. Indiana Resources Limited ilishiriki katika majadiliano na Serikali ya Tanzania kuanzia Januari 2018 hadi Desemba 2019, kujaribu kutatua suala la umiliki wa mradi huo. Hata hivyo, jitihada hizo hazikuzaa matunda na Serikali ya Tanzania ilifanya tangazo la mwaliko wa umma kwa zabuni ya pamoja kwa maendeleo ya maeneo yaliyokuwa chini ya leseni za kuhifadhi.

Maamuzi haya ya Tume ya usuluhishi ni muhimu sana sio tu kwa Indiana Resources Limited, bali pia Kwa nchi wanachama wa Tume na wawekezaji Kwa ujumla. Uamuzi huu unakumbusha umuhimu wa kulinda na kuheshimu mikataba ya uwekezaji. Pia inatupa ni fundisho kuhusu jukumu letu la kuhakikisha kuwa haki za wawekezaji zinalindwa na kwamba serikali zinaheshimu mikataba iliyosainiwa.

Hii pia inatoa fursa kwa nchi yetu, Tanzania, kutathmini upya sera zake za uwekezaji na kuhakikisha kwamba inashirikiana vizuri na wawekezaji ili kuleta maendeleo endelevu ya uchumi wetu na kuvutia uwekezaji wa moja kwa moja wa kigeni.

Pia soma: Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260
Sasa kama Taifa tufanye nini kuondokana na haya madhila?
 
Maamuzi sahihi...

Yana gharama zake sababu waliofanya mikataba walishaharibu so kuitengua ilikuwa na gharama zake
 
Back
Top Bottom