ikisimama panda
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 2,716
- 2,388
Hii comment imenipa nguvu sana, amani ya bwana iwe nawe.Maamuzi ya kijasiri ya Magufuli wacha yaigharimu nchi hayo mapesa, hatuwezi kukaa na mikataba ya hovyo yenye unyonyaji kwa taifa, huku walafi wachache walioingia wakifaidi 10% halafu nije kumlaumu Magufuli aliyeivunja, Never.
Wacha tudaiwe lakini heshima yetu iwepo, mbona deni la taifa lenyewe kila siku linaongezeka, tumeshazoea kuishi kwa madeni, wacha ibaki hivyo.
Kwangu Magufuli kwenye hili ni genius, naamini iko siku, hata huu wa Samia na DPW yake nao utavunjwa, wakati huo Samia akiwa amelala kaburini na laana.
Alishauri nini?Mh. Tundu Antiphas Lissu aliposhauri namna nzuri ya kuachana na hao watu na hivyo kuepuka mambo kama haya aliitwa msaliti na kuambulia risasi 30 mwilini. Yapo maamuzi ya kijinga na matokeo yake ndio kama haya...mtaikumbuka MIGA na bado!
Mimi naona wewe ndio huna akili ndugu yangu. π π π πHuna akili
Nyie mpoje? Sasa akipewa mwingine kwa mkataba mbovu inamhusu nini Magufuli? Yeye alishatimiza wajibu wake, nyie shauri yenu.Sawa mgodi ukirudishwa kwa umma nani alipe hizo hii amount? Je unaakika gani kama huu godi hatapewa mtu mwingine kwa mkataba mbovu zaidi ya huu uliovunjwa?
bado hadi leo unaamini hivi?Maamuzi ya magufuli yalikuwa sahihi maana kampuni ilikiuka masharti.ilikiuka haina faida yeyote kwa nchi.kwa kuwa kwa sasa tuna rais dhaifu ameelekeza kampuni ishinde ili aonekane magufuli ni mbaya.