Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

Maamuzi ya idadi ya watoto ni ya nani?

No woman wants to dominate a man but let me ask you something so you want to tell me that you men are comfortable with the way you are treating us women?

Jinsi mnavyowanyanyasa, mnavyowasaliti, msivyowajali na msivyowahudumia wake zenu mnaona ni sawa tu na pia mnaona kama ni lazima wao kutakiwa kuwasamehe na kuwavumilia ikiwa ninyi wanaume hamuwezi kuwavumilia wala kuwasamehe wake zenu kwa makosa yao?
Mdada y ar u so obsessed with men,, wats up with all these "we" statements?? Binadamu wanatofautiana tena sana, usiwe unachukulia kila mtu kama hao unao kutananao huko[emoji2][emoji2]. Sometimes t pisses me off[emoji52]
 
Mdada y ar u so obsessed with men,, wats up with all these "we" statements?? Binadamu wanatofautiana tena sana, usiwe unachukulia kila mtu kama hao unao kutananao huko[emoji2][emoji2]. Sometimes t pisses me off[emoji52]
Haha umeona za huyu tu? Ninyi mbona ni mabingwa wa kutuhukumu sisi kwa makundi? Hivi sasa muda si mrefu nimetoka kutoa povu kwenye uzi mmoja kuna mdau kasema eti wanawake wote hatuna akili akaenda mbali zaidi na kudai hadi mama yake. Yameniboa kishenzi yale malofa
 
Mdada y ar u so obsessed with men,, wats up with all these "we" statements?? Binadamu wanatofautiana tena sana, usiwe unachukulia kila mtu kama hao unao kutananao huko[emoji2][emoji2]. Sometimes t pisses me off[emoji52]
Basi ndo uwaambie wanaume wenzio waache kujazana ujinga maana wanaume mko hivi mnaweza kuwa hamyafanyi hayo maovu lakini mnawaunga mkono wanaoyafanya na mnawaona wako sawa ndo maana tunawajumuisha wanaume wote kwenye huo upuuzi
 
Mwanaume ndiye kichwa Cha familia mnakwama wapi ndugu Kama mpaka Sasa hamjajua mwanaume ndio kila kitu
Nadhani utakuwa mtu wa old stone age weye. Mwanaume tangu lini akawa kichwa cha kuzalishia watoto?? Miye ni mume wa mke mmoja lakini sijawahi kumshurutisha mke wangu idadi ya watoto tuliozaa. Nimebahatika kuzaa 8 lakini nia yangu na kiu yangu ilikuwa 2 tuuuu. Akaniamuru kuwa anataka kuzaa.
Hata siku moja usimfanye mkeo ng'ombe wa kuzalisha. Kuanzia uzao wa 5 ni hatari saana kwa mwanamke. Aweza kufa kwenye uzazi
 
Mchepukiwaji anaweka kichwa tu [emoji85][emoji85][emoji85][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Haha umeona za huyu tu? Ninyi mbona ni mabingwa wa kutuhukumu sisi kwa makundi? Hivi sasa muda si mrefu nimetoka kutoa povu kwenye uzi mmoja kuna mdau kasema eti wanawake wote hatuna akili akaenda mbali zaidi na kudai hadi mama yake. Yameniboa kishenzi yale malofa
[emoji28][emoji28][emoji28]Weakness haiziwezi kuwa tabia mbaya, yule yuko sawa kabisa weakness ya maamuzi ya ajabu ts not uncommon to women. Ila hapa mnasema wanaume ni wasaliti tabia ambayo sio kila mwanaume anayo( usaliti ni tabia kama wizi sio kila mtu ni mwizi)
 
[emoji28][emoji28][emoji28]Weakness haiziwezi kuwa tabia mbaya, yule yuko sawa kabisa weakness ya maamuzi ya ajabu ts not uncommon to women. Ila hapa mnasema wanaume ni wasaliti tabia ambayo sio kila mwanaume anayo( usaliti ni tabia kama wizi sio kila mtu ni mwizi)
We nae kwenda zako
 
Basi ndo uwaambie wanaume wenzio waache kujazana ujinga maana wanaume mko hivi mnaweza kuwa hamyafanyi hayo maovu lakini mnawaunga mkono wanaoyafanya na mnawaona wako sawa ndo maana tunawajumuisha wanaume wote kwenye huo upuuzi
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ni nani na wapi huko umeskia kwamba mwanamke akikosea hatakiwi kusamehewa na mwanaume ni lazima asamehewe?

Edelyn unakuza sana mambo wewe. au ndio sababu ya wewe kutetea wanawake wenzio kwenye kila mada humu?

Sikatai kuwa kuna wanaume wapuuzi na ndio hao ambao wanafanyiwa na wake zao hayo yote lakini wanashindwa Ku reciprocate na kuishia kuwaumiza tu wake zao. kila kitu kina exception
Sasa mbona wapo wanaume wanaopata hivyo vyote au zaidi kutoka kwa wake zao na bado wanachepuka? Tunachosema ni kwamba kwenye ndoa wote wanaume na wanawake wanakosea sasa inakuwaje mwanaume akikosea asamehewe na avumiliwe ila mwanamke akikosea apigwe, asalitiwe, aachwe au aongezewe mke? Yaani kwanini mwanamke akikosea anaadhibiwa na mwanaume akikosea anaachwa? Kwanini? Kwani wanaume mkikosea huwa mnaadhibiwa na nani?
 
Kutokuwa na mahitaji mengi halafu kutoa sex muda wowote bila visingizio. Sir, don't you think you are being a little selfish?
Selfish tena??... mahitaji yasiokuwa na ulazima hapa naongelea anasa, yaani wewe ni mtu usiopitwa na fashion ya nywele mpaka mikoba wakati huo kipato hakitoshi kukidhi mahitaji hayo.

Sasa wewe kama hauyapi kipaumbele mahitaji ya msingi badala yake unawaza ma vacation na shopping za kila wiki, halafu nisipotimiza hizo anasa zako unaniadhibu kwa kutokutoa chezo, hapo lazima unichoshe na nitakuona kimeo na hakika nitakuwa selfish saaana.
 
Ni nani na wapi huko umeskia kwamba mwanamke akikosea hatakiwi kusamehewa na mwanaume ni lazima asamehewe?

Edelyn unakuza sana mambo wewe. au ndio sababu ya wewe kutetea wanawake wenzio kwenye kila mada humu?

Sikatai kuwa kuna wanaume wapuuzi na ndio hao ambao wanafanyiwa na wake zao hayo yote lakini wanashindwa Ku reciprocate na kuishia kuwaumiza tu wake zao. kila kitu kina exception
Mkuu mbona wanaume wenyewe ndo wanasemaga kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka? Hauwezi amini kuna wanaume wengi nishabishana nao sana kuhusu hili swala mimi nasema kuwa wapo wanaume wasiochepuka wao wanasema kuwa hakuna mwanaume asiyechepuka

Na kuna wanawake wengi tu wenye sifa za kuwa wake wema kwahiyo kwa maana hiyo ni kwamba wanaume wengi tu wanachepuka ikiwa wanapata karibu kila kitu kutoka kwa wake zao sawa inawezekana hao ni exception ila inakuwaje exception ndo iwe dominant kuliko reality?
 
Selfish tena??... mahitaji yasiokuwa na ulazima hapa naongelea anasa, yaani wewe ni mtu usiopitwa na fashion ya nywele mpaka mikoba wakati huo kipato hakitoshi kukidhi mahitaji hayo.

Sasa wewe kama hauyapi kipaumbele mahitaji ya msingi badala yake unawaza ma vacation na shopping za kila wiki, halafu nisipotimiza hizo anasa zako unaniadhibu kwa kutokutoa chezo, hapo lazima unichoshe na nitakuona kimeo na hakika nitakuwa selfish saaana.
Mkuu hata vacation ni anasa? Msiwe na roho za kimasikini jamani.
 
Je,kama unataka afanye hivyo huku unaweka misingi mizuri ya kesho kama vitega uchumi?
Kama ni mwanamke alie ajiriwa ni vyema mwanaume uwe msikivu kwa mwenzako pale anaposema mzae kwa mpango...koz wanawake wanapitia changamoto nyingi sana anapokua na watoto wengi huku pia kazi zinamsubiri, huwezi kumwambia mkeo akae nyumbani tu akuzalie kuna kesho unaeweza ukaondoka hapa duniani ukamuacha kwenye kipindi kigumu ...mwanaume muelewa ataelewa hili
 
pumbavuuu,unazidiwa akili hata na kuku,kwa akili fupi na upeo finyu ulionao wewe na wapumbavu wenzako kama wewe tutawaburuza mpaka kiama,sasa mwanamke mpumbavu kama wewe wanaume tukikugeuza chombo Cha starehe unaanza kulalamika wanaume hawafai,umeolewa kweli,huyo aliyekuoa ni mpumbavu sana
Mbona umekurupuka Kama ngiri Shimon Wakati hali ni shwari?? Chui hayupo mzee baba toka Shimon taratibu tuu
 
pumbavuuu,unazidiwa akili hata na kuku,kwa akili fupi na upeo finyu ulionao wewe na wapumbavu wenzako kama wewe tutawaburuza mpaka kiama,sasa mwanamke mpumbavu kama wewe wanaume tukikugeuza chombo Cha starehe unaanza kulalamika wanaume hawafai,umeolewa kweli,huyo aliyekuoa ni mpumbavu sana
Hebu kunywa maji kwanza, husaidia kupunguza stress.
Then rudi ukiwa na clear mind mkuu.
 
Wote wawili ingawa mimi napenda wawili Sitaki mke wangu achoke sababu ya kuzaa , outing nitatoka na Nani[emoji3][emoji3].SI wengine tunapenda sifa unatoka outing na mwanamke yupo in shape anavutia sifa na pata Mimi kidume...

Mke wa jamaa ni mashine safiiiiiiii ndo nataka hivyo[emoji23][emoji23][emoji23], heshima.
Nenda kaoe bro
 
Back
Top Bottom