mi binafsi nilikaa kimya wakati watu wanapiga kelele tunataka kocha mzawa hasa waandishi wa habari, ukweli wanaojifanya wadau wa mpira hawajui kitu ukianzia na rais wa TFF nimesoma kwenye gazeti kocha anaulizwa kwanini amempanga Haji Mwinyi anasema alitaka kubalance timu ya taifa bara na visiwani naishukuru serikali ya awamu hii kujitoa kumlipa mshahara kocha wa stars kwani kodi zetu zingekuwa zinaenda bure.Tunatakiwa tuwe na mipango mirefu na mifupi hata kama kocha akija afatishe mipango inayoeleweka na sio kuanza upya