Maana halisi ya afande

Maana halisi ya afande

Afande ni neno lenye asili ya kituruki "efendi" likimaanisha cheo au ukubwa fulani miongoni mwa askari au watawala wa kituruki
Neno hili lililetwa Afrika Mashariki na askari wa kisudani waliokuwa sehemu ya jeshi la wajerumani, wengi wa askari hawa walikuwa wamepigana vita huko Misri ambako kwa wakati huo eneo hilo la afrika kaskazini lilikuwa chini ya utawala wa waturuki (Ottoman empire) hivyo kupelekea wao kujifunza baadhi ya maneno hayo na walipokuja Deutsche ostafrika (German East Africa) wakaanza kulitumia na sisi kuliadopt ktk majeshi yetu lkn kwa kubadilisha kidogo matamshi yake
 
IMG_20240615_175440.jpg
 
Back
Top Bottom