Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Luxury zipo. Wewe sema hujawahi kuiona.Yote ni semi luxury na ordinary hakuna luxury Tanzania
Nipo na BM hapa ni luxury ina sifa zote kasoro wifi ambayo wanazembea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luxury zipo. Wewe sema hujawahi kuiona.Yote ni semi luxury na ordinary hakuna luxury Tanzania
Hii nimeona mara nyingi sana ndio mana kujiuliza,nisije lalamika nikaonekana mshamba. Kweli Luxury haina AC? Ndani ofa chungwa 1 tu!!🤔 Inabidi mamlaka husika zisimamie hichi kiti vizuri mana raia wengi hawajui. Wengi wanaju ni upya wa basiHili halizingatiwi. Juzi kati baada ya kukosa magari yote sijui yalikuwa yamekodishwa kwenda wapi nimepigwa vibaya kuambiwa ni luxury nauli 33,000 Arusha Dar.
Kuingia ndani nusu nizimie basi chafu ni kama halijawahi kufanyiwa usafi, halina service yoyote..unaambiwa linaondoka saa 12 lkn linaondoka masaa matano baadae.
Nauli kila mtu kalipa tofauti..
Tupo tuliopigwa 33, wengine 25, 22 hadi.17.
Kundoka Arusha saa 2 asb kufika dar saa 5 usiku.
Osaka Express pambav zenu.
Hadi kimbinyiko mkuuu??Magari yapo sana ubungo
Shabiby, Tahmeed ya mombasa, Dar luxy ya Arusha Nk.
1.Ordinary
2.Semi-luxury
3.Luxury
Afadhali hata wewe ulipata ofa ya chungwa. Kwanza mi nisingepokea kwa uchafu ule.Hii nimeona mara nyingi sana ndio mana kujiuliza,nisije lalamika nikaonekana mshamba. Kweli Luxury haina AC? Ndani ofa chungwa 1 tu!![emoji848] Inabidi mamlaka husika zisimamie hichi kiti vizuri mana raia wengi hawajui. Wengi wanaju ni upya wa basi
Ina choo? Soda, maji, cake/biscuit, pipi, Ac?Hadi kimbinyiko mkuuu??
Yes kipo. Full AC. Wanajitahidi kiasi chakeHii BM ni mtu wa pili nasikikia anaisifia,choo kipo?
Hapana ina pipi kali tuuIna choo? Soda, maji, cake/biscuit, pipi, Ac?
Nipo kwa BM hapa VIP. WiFi hakuna. Labda kama ipo wanatubania. Kuna kipindi wanaanza ilikuwepo na wanatangaza kuwa ipo na password wanatoaIna Wi-Fi kweli au ndio danganya toto
[emoji3][emoji3] sawaaaHapana ina pipi kali tuu
Serikali inajali malipo yao tuu na makato likiingia na kutoka hata kile chama cha wamiliki wa magari ya abiria yule mwenyekiti wai hana time na kujali maslahi ya abiriaKwann serikali isimamie haya madaraja na kutoa muongozo kwa abiria? Wabongo wengi tunapigwa lakini hatujui pa kusemea ndio mana unaona kimya
Sikubishii kwa viwango vyako vya uelewaNipo na BM hapa ni luxury ina sifa zote kasoro wifi ambayo wanazembea
[emoji16][emoji16] cha kubisha hakipo mkuuSikubishii kwa viwango vyako vya uelewa
Walishakitia plaster watu walikosa ustaarabu, fikiria mtu ametoka Kongwa anajichamba kwa kutumia ukurasa wa kitabu au daftari, choo kitaacha kuziba, nani atakuwa anashinda huko chooni kutoa shule!!!Hii BM ni mtu wa pili nasikikia anaisifia,choo kipo?
Kuna watu hawajui sifa za luxury bus, wakionjeshwa chungwa na pipi wakawekewa na muziki wa diamond basi kwao hiyo ni luxury,[emoji16][emoji16] cha kubisha hakipo mkuu
Ni kweli.Kuna watu hawajui sifa za luxury bus, wakionjeshwa chungwa na pipi wakawekewa na muziki wa diamond basi kwao hiyo ni luxury,
Hahahaaa, mtu anasafiri kati ya Kongwa na Dodoma kwa mabasi yale ya kule, siku akipanda bus lenye AC tu anazunguka Kongwa nzima kutangaza amepanda luxury, na sembuse akibahatika kuwa na simu yenye android basi ni tabu, atasifia hilo bus kama lake vileNi kweli.
Ni kwasababu mikoa wanayosafiri hakuna luxury buses.