Sio hiyo tu, nimepata kusikia miaka ya 70's ukivaa jeans unaitwa kituo cha polisi ueleze umetoa wapi pesa ya kununua au umeipata wapi 😂Mkuu Kibosho1 kuna usemi unasema "what is luxury to you is necessary to me" sijui kama umewahi kuusikia, nilitoa mfano hapo awali nikasema kuna enzi fulani hapa nchini ilikuwa ukienda kununua radio cassette dukani unaambiwa hiyo ni anasa, ukivaa suti, miwani na tai unaambiwa unafanya anasa, ukiwa na TV na saloon car unaambiwa unafanya anasa, sasa kitu kuita anasa kinatategemeana na mtu anayekihitaji na kwa kukidhi hitaji gani
🤣 😄 😂 😆miaka ya 70's ukivaa jeans unaitwa kituo cha polisi ueleze umetoa wapi pesa ya kununua au umeipata wapi
Nauli zake zipoje mzee nataka nione kama ni kweli nisafiri naloKatika mabasi nilyopanda naweza kusema KILIMANJARO Express ndio wana hizo huduma za luxury
Ac mwanzo-mwisho.
Comfortable seat.
Toilet safi kabisa.
Mda wa kula hotelini ni nusu saa (30 min), kampuni nyingine ni dkka kumi tu!
Mwendo (uendeshaji) murua kabisa.
Konda-mwanamke mzuri mwenye kutoa huduma ya viwango wakati wote (miithili ya air hostes), kampuni nyingine makonda ni wahuni tu kazi yao pekee ni kuokota abiria wa njiani shenzi kabisa.
Runinga kama kawaida ila sio muvi ya kina mkojani, ni media zilizo pangiliwa vizuri
Biskuti+ soda+maji+pipi.
Booking office very comforting huduma zote ukiwa unasubiri gari ifike usepe
Kwakweli nikitumia pesa yangu kwa hawa jamaa huwa sijutii kabisa ila kampuni nyingine tutapambana mpaka nihakikishe natoa pesa ya mmiliki wa gari pekee hakuna cha ya mpiga debe wala nini
33k kwa 36k tu mkuuNauli zake zipoje mzee nataka nione kama ni kweli nisafiri nalo
Ndugu Kwanza ishia hapo hapo tu siti 2x1 unahisi linaweza kuwa utopolo ndani?Uzuri wa hawa Tahmeed 2×1 liko powa kimuonekano sijajua huduma za ndani
BM ndio anatamba na choo ila wengine Luxury ni upya na biskuti na pipi tu. Choo mkachimbe dawa au mpaka hoteliniNatamani mwenye picha za Luxury Tahmeed aziweke watu waelewe maana halisi
ya bus luxury,warabu wale wanajua maana ya Luxury niliwahi otea Luxury yao 2018
sijawahi panda tena bus TZ hiii yakukuta hata robo ya features zinazopatikana ndani ya lile bus
Tanzania zimejazana semi luxury zilizobatizwa U luxury,Bus zote ukiona limeandikwa DARAJA LA JUU
ujue kitu pekee kilichofanya kupewa hilo daraja ni CHOOO na si vinginevyo,ila si kwa TAHMEED aseee kina OSAMA sio asee...
Nakuhakikishia utaona thamani ya pesa yakoSoon
Lazma nipande
Wameyaita ya daraja la juu kwakuwa ni ya kwao haohao wanaotoa vibali, lakini kiuhalisia siyo kabisaaaaaaaaaaa!!!Tanzania zimejazana semi luxury zilizobatizwa U luxury,Bus zote ukiona limeandikwa DARAJA LA JUU
Natamani mwenye picha za Luxury Tahmeed aziweke watu waelewe maana halisi
ya bus luxury,warabu wale wanajua maana ya Luxury niliwahi otea Luxury yao 2018
sijawahi panda tena bus TZ hiii yakukuta hata robo ya features zinazopatikana ndani ya lile bus
Tanzania zimejazana semi luxury zilizobatizwa U luxury,Bus zote ukiona limeandikwa DARAJA LA JUU
ujue kitu pekee kilichofanya kupewa hilo daraja ni CHOOO na si vinginevyo,ila si kwa TAHMEED aseee kina OSAMA sio asee...
Natamani mwenye picha za Luxury Tahmeed aziweke watu waelewe maana halisi
ya bus luxury,warabu wale wanajua maana ya Luxury niliwahi otea Luxury yao 2018
sijawahi panda tena bus TZ hiii yakukuta hata robo ya features zinazopatikana ndani ya lile bus
Tanzania zimejazana semi luxury zilizobatizwa U luxury,Bus zote ukiona limeandikwa DARAJA LA JUU
ujue kitu pekee kilichofanya kupewa hilo daraja ni CHOOO na si vinginevyo,ila si kwa TAHMEED aseee kina OSAMA sio asee...
Hii picha ya mwisho wajamaa wanastahili tuzo tena kwa kipindi hiki cha covid-19View attachment 1782092
View attachment 1782093
View attachment 1782095
View attachment 1782096
Kwa msaada wa Google, duh! Hawa jamaa nimewanyooshea mikono
Ivi kuna basi lenye wi-fi kweliLuxury bus ni basi lenye huduma za anasa yaani luxury. Upya wa basi sio suala la lazima. Not necessary!
Huduma za anasa ni kama vile; Wi-Fi, kiyoyozi (AC), chakula na vinywaji, runinga, kitanda cha kulala, maliwato n.k.
Linabeba abiria wangapi
Ya hivi tahmeed anayo ile scania na moja climber zongtong
Acha tu mkuu, hizi ndio raha duniani. Kama naeza tumia zaidi ya 50k kula raha na demu kwa siku moja kwanini nsipande gari Kama hii kwa trip ya siku moja?Hii picha ya mwisho wajamaa wanastahili tuzo tena kwa kipindi hiki cha covid-19
Kibosho1 angalia ndege inayotembea ardhini The one and Only in Tanzania.View attachment 1782099View attachment 1782100View attachment 1782101View attachment 1782102View attachment 1782103View attachment 1782104View attachment 1782105
Dah aisee Kama ndo hivi basi hawa Tahmeed ni nyoko 🙌🏿