Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Tunamwachia MunguHivyo vyote vikiwemo ndani ya basi ni anasa sababu basi sio hoteli, wala sio nyumba ya kudumu bali ni chombo tu cha kusafiria.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunamwachia MunguHivyo vyote vikiwemo ndani ya basi ni anasa sababu basi sio hoteli, wala sio nyumba ya kudumu bali ni chombo tu cha kusafiria.
Kawaida inapimwa kwa kipimo gani, kumbuka kuna wakati kumiliki radio cassette, tv, saloon car na kuvaa suti na tai ilitajwa kuwa anasakupita kawaida.
Hamna gari ambalo unapewa chakula bongo! Luxury ambalo ndio top class utaambulia pipi na soda + maji! Mbali na hilo labda ni full ac ila kuhusu wifi ni utapeli wa mchana kweupe! Hakujawahi kuwa na basi lenye bando 😅😅😅!Magari yapo sana ubungo
Shabiby, Tahmeed ya mombasa, Dar luxy ya Arusha Nk.
1.Ordinary
2.Semi-luxury
3.Luxury
Hili basi liko bongo?
HapanaHili basi liko bongo?
Afadhali ulipanda na kuku..... Kuna mengine nimeshuhudia jaa wanasafiri na mbuzi ndani ya basi. Mkishuka wote mnatoa harufu kama beberu la mbuzi au kondoo... [emoji1787]Jana nimepanda basi moja na kuku.
Hakuna tena sumatra sasa kuna LatraHao wekundu umewasingizia, wanaohusika ni SUMATRA
Sahihi kabisaYote ni semi luxury na ordinary hakuna luxury Tanzania
hahahahahaha kmmmmkKumpa mtu benz la bei mbaya wakati halihitaji na huku watu wanakufa kwa kukosa dawa, pia ni kumpa mtu jengo la kifahari wakati tayari ana majengo chungu mzima nchi nzima na wala hayatumii kwa lolote zaidi ya fahari
Wameondoa element ipiHakuna tena sumatra sasa kuna Latra
Element ya" marine "Wameondoa element ipi
Ni wadanganyifu tu, wanajua watanzania siyo wafuatiliaji wa kujua haki zao, all in all
Luxury buses or coaches are typically used for travelling longer distances, coaches place more of an emphasis on comfort and entertainment. Coaches are often equipped with larger, more comfortable seats, whereas buses possess standard two and three-seater, bench-style seats.
Asante Mkuu barikiwaElement ya" marine "
Sumatra ...surface and marine transport regulatory authority
Latra ..Land transport regulatory authority
Naunga mkono hii comment, sababu hakuna bas lenye sifa zote wanazotangaza.
Ukipewa soda na biskuti TV zikiwa 3 wanasema Luxury lakini bado huduma kibao hakuna
Kiswahili kidogo mkuu
Luxury buses or coaches are typically used for travelling longer distances, coaches place more of an emphasis on comfort and entertainment. Coaches are often equipped with larger, more comfortable seats, whereas buses possess standard two and three-seater, bench-style seats.
Route zake wapiPanda BM VIP
Route zake wapi
Kuelekea wapi au kutokea wapiArusha
Hili halizingatiwi. Juzi kati baada ya kukosa magari yote sijui yalikuwa yamekodishwa kwenda wapi nimepigwa vibaya kuambiwa ni luxury nauli 33,000 Arusha Dar.Usikaze ubongo ndugu yangu. Hizi standards tunaziset wenyewe.
Nasema hivi luxury zipo na Latra wameshatoa leseni na magari yanafanya kazi